kiye
Senior Member
- Apr 28, 2012
- 117
- 25
Heee... ndimba uligwa kumyetu!
Bha mwanongi ndagha lelo
Heee... ndimba uligwa kumyetu!
Haa haaa pole sana, hata huyo wa stoo endelea kufanya siri utachapiwa tena,raha ya mpenzi kumuweka wazi hata michepuko siku hizo inawekwa waziHii Habari uisikie tuu kwa Jirani.
Nilifanya Siri kwa washikaji zangu wa kazini juu ya "Mchongo" ninaopiga.
Leo Mshikaji anasimulia kila kitu mbele yangu tena kwa kujisifu kuwa kafaidi balaa, imebidi niuchune tuu sababu sina hata pakulalamika, ila ndo nimejua maumivu yakuchapiwa.
Inauma aisee asikwambie Mtu.
Kiukweli haya maumivu nliyoyapata ndo yamefanya nijiulize angekuwa wife kabisa ingekaaje!?
Nshapiga chini saa hizi natoa mmoja aliyekuwa stoo!
NB hata King mwenyewe ashachapiwa mke wake majuzi tuu hapa.
wazazi msisahau kulog out mkimaliza kutumia JF, au mtumie watoto wakiwa wamelala ona sasa madhara yake