Ingawa jamaa kaelemewa mpaka anakaribia ku-suffocate lakini bado kakomaa tu na mzigo ilimradi tu aonyeshe mapenzi. Halafu demu nae anachekelea tu bila kujali maumivu anayompa mwenzie.
ii ni love ama acting love..kwa hali hii angemwambia mwenzie yamenishinda a kama mapenzi ya kweli kwa kuwa anaitaji kumchakachua na kutimiza ahadi zake amna jinsi agangamae na maji puani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.