Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,518
- 176,639
Ooooh!!!View attachment 420369Hii ndio post ila Mods wamebadilisha ndio maana hujaelewa.
Ooooh!!!View attachment 420369Hii ndio post ila Mods wamebadilisha ndio maana hujaelewa.
Changamoto zipo,mwalimu hana thamani akifaulisha watoto wanaakili wakifel mwalimu hajui kufunfisha nini zawadi ya mwalimu au shikamoo tuuHakuna changamoto mkuu kikubwa ni kuishi ndani ya maadili ya kazi tu hao watoto wa kawaida tu labda uwe na ugwadu sugu ndo utaona ualimu na madenti ni changamoto
Nashangaa aisee jamaa wamebadili kabisa Uzi wangu,duuu!!..sijali narudishaa,,View attachment 420341
Toa hoja sasa mkuu.Ooooh!!!
Sanaaa!!..Watu wanawalaga Hawa.....!!
Mmmmh!! Mie mwalimu wa kike hivyo siwezi kuusemea mioyo yenu.Toa hoja sasa mkuu.
Ndo teaching allowance hizo, Madame B anayo ya form threeMmmmh!! Mie mwalimu wa kike hivyo siwezi kuusemea mioyo yenu.
Hatari sanaNashangaa aisee jamaa wamebadili kabisa Uzi wangu,duuu!!..sijali narudishaa,,View attachment 420341
Hilo hapana aseeHahaaaaa!! Madame B noma sana. Wewe hili rupu rupu hujajitwalia?
Kikombe hiki kiniepuke, hivi unaanzaje kwamfano!!Hilo hapana asee
Jamii haijui walimu ni watu hatari sana kuliko hatari yenyewe
Poa mkuuMmmmh!! Mie mwalimu wa kike hivyo siwezi kuusemea mioyo yenu.
Mie ndio nahisi kupasuka kwa hasira.Yaani jamani mwenzenu nimepagawa.
Nimenyimwa uhamisho, hawataki nihame wilaya.
Nifanyaje?
Naacha kazi aiseee
Siku hizi umehama mjini?Yaani jamani mwenzenu nimepagawa.
Nimenyimwa uhamisho, hawataki nihame wilaya.
Nifanyaje?
Naacha kazi aiseee