Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,219
- 6,080
Kati ya kazi zenye changamoto kubwa katika nchi hii ni ualimu, walimu wanapambana na kila adha katika maisha yao ya kila siku, kudharauliwa, mishahara isiyokidhi mahitaji, mazingira magumu ya kazi lakini jamii na serikali hazioni hili,ama kweli UALIMU NI WITO
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87]