fanya analysis pale mwanaume anapokuwa amefiwa na mpendwa wake, yani mtu wake wa karibu...
maumivu ya kugugumia ndio maumivu yanayoumiza na ndio maumivu haswaa yanayotoka moyoni...
Hicho ndicho kilio halisi cha mwanaume... kugugumia, sio kutoa makelele!
A man was created to cry in a silent mode.