Kweli hii kali nimeishuhudia mwenyewe

Kweli hii kali nimeishuhudia mwenyewe

ngawia

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
834
Reaction score
859
Nilikuwa kwenye kikao Jumapili iliopita cha rafiki yangu...sasa rafiki yangu akafika kwenye kikao amechelewa huku akiwa na binti aliyekuwa ameongozana naye akawambia washikaji alikuwa kwenye mchepuko baada ya bia kukolea washikaji wakaanza kumwita yule binti shemeji ndipo wazee waliposhituka na kuanza kuhoja shemeji kwa nani jamaa alipoona hali inakuwa mbaya ikabidi amwombe mshikaji mmoja pale kwenye kikao abebe dhamana yule binti ni mchumba wake ila wazee walimwakia mshikaji mbaya.

Alimanusura kikao kivunjike mzee mmoja akawa anahoji mna uhakika huyu mtu hajawahi kupeleka barua ya posa kwa mtu mwingine kabla ya huyu binti anayemwoa"? Yule mzee anazungumza kwa kujiamini huenda kuna kitu anajua.
 
Unaeleweka kwa tabu saana,nimerudia mara mbili. punctuation mark hazipo
 
wanaume mnajua kubebeana misalaba kweli
 
Hadi sasa nisharudia kusoma kwa mara ya 5 na bado cjaelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom