Kweli CCM Tunachukiwa!

Kweli CCM Tunachukiwa!

CCM imetufanya tumekuwa watumwa katika nchi yetu wenyewe. Migodi yote wamekabidhiwa wageni na bado haichangii kama tulivokuwa tunachangia sisi pamoja na vifaa vyetu duni. Angalia wafanya biashara ndogondogo wanavyo hangaishwa lakini pia angalia mfumuko wa bei, CCM nani àtawapenda na kwa lipi?
 
Huo ni utafiti tosha. (2/25)x100% = 8%. Maana yake kwamba asilimia 92 ni UKAWA na 8% tu ndo CCM. Hata mimi kwenye daladal la watu takribani 40, ni mmoja tu alikuwa anamtetea Magufuli against Lowassa. Sasa CCM watakuja na tafiti zao wanasema, Magufuli anaongoza. Thubutu, mwaka huu mi ntakufa tu, siwezi kushuhudia dhuluma nyingine.

Husife mkuu tunakuhitaji sana
 
CCM imetufanya tumekuwa watumwa katika nchi yetu wenyewe. Migodi yote wamekabidhiwa wageni na bado haichangii kama tulivokuwa tunachangia sisi pamoja na vifaa vyetu duni. Angalia wafanya biashara ndogondogo wanavyo hangaishwa lakini pia angalia mfumuko wa bei, CCM nani àtawapenda na kwa lipi?
Kama unachangia campaign za ccm wewe ni hutakiwi kulipa kodi
 
Jamaa wako kikanda zaidi lazima wamtetee mgombea.
Kubalance story yako siku panda basi la DSM kwenda Mwanza au Mbeya au Songea ili upate na mitazamo ya watu sehemu tofauti tofauti ili uweze tengeneza hitimisho lenye kubalance.

Lowasa anakubalika Tanzania mzima
 
huyu mtu sikujua km ni Masaai
Laiser Tom ww ni MZUSHI No waheed
yaani unapanda gari linaenda kwenu Arusha halafu anatudanganya walioko kwenye basi wanaichukia CCM
kwanini usipande mabasi ya Mwanza, Najmunisa, SABCO Simiyu yetu asikie wanavyomfagilia Magufuli
Hiyo ni Nchi ya Kaskazini nayo inataka itawale safari hii
si ajabu idadi yenu mpambanishwe na Mkoa wa Geita tu, tosha katika kura ya Urais

Mkuu tulia dawa ikuingie maungoni vizuri kusudi upone,lowasa ni rais na kipenzi cha watanzania wote.
 
huyu mtu sikujua km ni Masaai
Laiser Tom ww ni MZUSHI No waheed
yaani unapanda gari linaenda kwenu Arusha halafu anatudanganya walioko kwenye basi wanaichukia CCM
kwanini usipande mabasi ya Mwanza, Najmunisa, SABCO Simiyu yetu asikie wanavyomfagilia Magufuli
Hiyo ni Nchi ya Kaskazini nayo inataka itawale safari hii
si ajabu idadi yenu mpambanishwe na Mkoa wa Geita tu, tosha katika kura ya Urais
Lowasa ndiye rais
 
huyu mtu sikujua km ni Masaai
Laiser Tom ww ni MZUSHI No waheed
yaani unapanda gari linaenda kwenu Arusha halafu anatudanganya walioko kwenye basi wanaichukia CCM
kwanini usipande mabasi ya Mwanza, Najmunisa, SABCO Simiyu yetu asikie wanavyomfagilia Magufuli
Hiyo ni Nchi ya Kaskazini nayo inataka itawale safari hii
si ajabu idadi yenu mpambanishwe na Mkoa wa Geita tu, tosha katika kura ya Urais
mkuu mie nimekuja Dar kwa fastjet Leo watu niliokuwa nimekaa nao siti za nyuma sikuona mtu anaeifagilia ccm.nakuambia wanaccm any time wataanza kupigwa mawe
 
Yaani wamtalawe Baba,Mama, Mimi nisipokuwa makini hata watoto wangu watazaliwa kwa CCM... mwaka huu napiga kura CCM basi
 
Subiria baada ya uchaguzi ndo utajua ukitetee au usikiteteee
 
Mimi ninaijua vizuri!
 

Attachments

  • 1439144938205.jpg
    1439144938205.jpg
    21.6 KB · Views: 295
Ccm Pumba Kabisa Yaani Kama Tangazo La Coca
 
Back
Top Bottom