Kweli CCM Tunachukiwa!

Kweli CCM Tunachukiwa!

Hata huku Mwanza habari Ni lowassa Tu,hakuna magufuli wala makufuli
 
yote-njaa-720173.jpg
maendeleo3.jpg
Wanafunzi+wa+shule+ya+msingi+Etaro+wakiwa+darasani.Shule+hii+ipo+wilaya+ya+Musoma+vijijini.JPG
wanafunzi-mtoni.jpg
IMG_20140726_111450.jpg
cs%204.jpg
3-1-640x350.jpg
 
Wanachama wa CCM msijidanganye. Miaka 54 kwenye utawala bado ninyi na sisi tunakunywa maji ya malambo pamoja na ng'ombe. Hamchukiwi ila utawala wenu umechokwa.
 
Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.

Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.

Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).

Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.
Mkuu sema watu 2 tu ndiyo walionyesha kutoijua CCM! hakuna anayoipenda CCM hata 1
isipokuwa wasioijua ndio wanaonekana kama wanaipenda!
 
Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.

Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.

Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).

Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.

Hakika mwaka wa miujiza....ni mwaka 2015.

CCM mlizoea kudanganya...kwa miaka 54..sasa mwisho umefika....

vipofu wanaona.....

viziwi wanasikia....

viwete wanatembea....

wajinga na wapumbavu wooote wamekuwa werevu..kila mtu atapiga kura...


mwaka huu hata washirikina wataandamana kupiga kura za haki.

Hakika...Tanzania inazaliwa upya...asie amini asubiri october 25.

MUNGU IBARIKI TANZANIA...



MUNGU MBARIKI LOWASSA.....
 
Jana kuna m2 nmemtoa meno kisa kuisifia ccm akanipeleka polisi mkuu wa kituo akauliza chanjo jamaa akasema ccm mkuu wa kituo akasema wewe mpuuz kwel sijawai kuona kijana bwebwesa kama wewe..na kesi ikaishia hapo mkuu wa kituo alinilaumu sana Kwa nn ckumtoa na jcho.
 
Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.

Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.

Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).

Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.
.
-Chini ya CCM wanafunzi wanakaa chini

-Chini ya CCM huduma ya Maji ni shida

-Chini ya CCM rushwa na ufisadi umekita mizizi.

-Chini ya CCM shilingi imeporomoka na kufariki.

-Chini ya CCM huduma ya Afya ni shida

-Chini ya CCM Wajawazito wanajifungulia chini mahosptalini

-Chini ya CCM gharama za maisha zimepanda kukithiri.

-Chini ya CCM ajira hakuna kwa wasomi.

-Chini ya CCM viwanda vimekufa

-Chini ya CCM mashirika ya Umma yamekufa.

-Chini ya CCM Rasilimali zinatumika hovyo.

-Chini ya CCM Twiga wamepanda ndege bila kuonekana na rada.
Hawa twiga sijui walikuwa na Passport!

-Chini ya CCM waandishi wa habari wameuawa.

-Chini ya CCM maelfu ya wanavyuo hawana mikopo

-Chini ya CCM Elimu ya kuanzia shule ya Msingi hadi Chuo kikuu imeshuka kiwango cha ubora.

-Chini ya CCM maisha yamekuwa magumu zaidi

-Chini ya CCM ni asilimia Chini ya 20 ya watanzania wanaumeme wa uhakika

-Chini ya CCM foleni kwenye majiji ni shiiiiiiiida

-Chini ya CCM kilimo hskina tija kabisa na umaskini umewatafuna watanzania wengi

-Chini ya CCM wafanyakazi wameendelea kua na mafao duni na maxingira duni Huku kodi ikiwa juu

-Chini ya CCM wafugaji na wakulima wameendelea kuchapana

-Chini ya CCM mikataba yote ya madini, Gas, Alma's na kadhalika imeendelea kua Siri

-Chini ya CCM rasimu ya Katiba ya wananchi ilinyofolewa

-Chini ya CCM deni la taifa limeendelea kupanda kwa kasi ya sjabu

-Chini ya CCM ajira kwa vijana imekuwa shiiiiiiiiiiiiida

Peleka ujumbe huu Twitter, Instagram, Facebook, JF, mwanahalisi forum


-NIMEJIANDIKISHA
-Nimejipanga
-NITATUMIA KIKATIO CHANGU VIZURI
 
Back
Top Bottom