Kweli CCM Tunachukiwa!

Kweli CCM Tunachukiwa!

Kuna mbunge mmoja wa CCM alipoteza UBUNGE kwa sentensi hiyo bila kujua hao wauza unga ndiya wenye VIPANDE hivyo vy kujiandikisha kuliko unavyodhani.

Na sababu moja kubwa ni kwa ajili ya kujitambulisha...........Upo?Wenzio wana akili kuliko wewe...Pole

Nakupata kamanda Tetty
 
Ukifanya uchunguzi mdogo sana utakuta. Chadema inapendwa na wachagga ,wapare kidogo na wamasai wamehamia baada ya jamaa kukatwa.ukichunguza tena kidogo utagunduwa kuwa chadema inapendwa kaskazini na kwenye miji mikubwa kwa kiasi kidogo Kama mwanza,dar ,mbeya nk. Mkuu Tanzania ni zaidi ya hizo sehemu nilizokutajia.wala usitishike tena nimesahau kwa mf.kaskazini kwa sasa wambulu wamechukizwa sana na kiongozi wao Dr.Slaa kunyanyaswa wamerudi ccm wote.kwahiyo wala usiwe na shaka hizi kelele za hapa jf wala zisikuumize kichwa wapiga Kura wametulia wanasubiri mtanange.
Uchunguzi huo ulifanyia wapi wewe gamba huu ndio mwisho wenu ccm haipendwi kila sehemu na bado chama kinachukiwa mpaka wenyeviti wnajiuzulu kila siku mpka sasa wenyeviti watatu wa mikoa na mwenyekiti wa wenyeviti naibu waziri waziri mkuu bado unajiongopea gamba wewe
 
Naimani hata wewe unakichukia ila ulikua unaigiza tu kuwa mwana sisiem
 
Usivunjike Moyo mkuu hao ni binadamu wasio na shukrani. Huwezi kuamini kuwa wanaopinga ccm Leo hii ni wenyeji wa Moshi na Arusha ambapo maendeleo waliyonayo hayafikii mikoa mingine kwa maana ya serikali ya ccm kuwekeza katika maeneo kuliko kwengine lakini hawana shukrani hata kidogo kisa wanataka rais awe mchaga au mmeru.
 
Mnao tetea ccm msiniharibie siku yangu tazavali sana. Niwatetee walio nipigisha makitaimu miaka 54. Ati wanasema Makofuli katengeneza barabara Tz nzima. Hizi nazo ni za kujisifia? Na aende hapo jirani tu Nairobi aone barabara zilivyo nazo hizo Kenya wanaona si za viwango.
Angetengeneza moja tu ya 4 lane angetamba vipi?
Alipoingia madarakani JK mkate ulikuwa shs ngapi? Leo nanywea chai mihogo?? Tena wa kuchemshwa!! Sukari ilikuwa shs ngapi? Leo tunatumia ubuyu kutengenezea togwa la uji??
Jamani mmeiharibu siku yanguuuuu. Furaha yangu ni kwamba nimejiandikisha, tarehe ikifika tu, nipo mlangoni kwa mtendaji kata kuhakiki kama silaha yangu ya kuiangusha ccm ipo fit. 25 Oktoba, naisubiri kwa hamuuuuu
 
Naimani hata wewe unakichukia ila ulikua unaigiza tu kuwa mwana sisiem
 
Huo ni utafiti tosha. (2/25)x100% = 8%. Maana yake kwamba asilimia 92 ni UKAWA na 8% tu ndo CCM. Hata mimi kwenye daladal la watu takribani 40, ni mmoja tu alikuwa anamtetea Magufuli against Lowassa. Sasa CCM watakuja na tafiti zao wanasema, Magufuli anaongoza. Thubutu, mwaka huu mi ntakufa tu, siwezi kushuhudia dhuluma nyingine.
 
Pumzika salama C.C.M, tulikupenda sana, lakn Rushwa na ufisadi viliwapenda zaidi, mlikuja kwa KIJANI na mnarudi kwa MANJANO, NYUNDO tutatumia kugongelea JENEZA lako na JEMBE tutatumia kufukia KABURI lako! MUNGU ibariki CHADEMA MUNGU ibariki Tanzania, C.C.M PUMZIKA KWA AMANI, PEOPLES POWER LOWASSA POWER,
 

Attachments

  • 1439140900518.jpg
    1439140900518.jpg
    10.1 KB · Views: 259
Naimani hata wewe unakichukia ila ulikua unaigiza tu kuwa mwana sisiem
 
Back
Top Bottom