Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 310
Mtoa mada mmasai,hii post umeiweka kimtego au kiuzushi.
Wew lazma utakuwa mkwere unajib post kimtego
Mtoa mada mmasai,hii post umeiweka kimtego au kiuzushi.
Tuambieni kwanza waliokwapua escrow kupitia stanbic
Kuna mbunge mmoja wa CCM alipoteza UBUNGE kwa sentensi hiyo bila kujua hao wauza unga ndiya wenye VIPANDE hivyo vy kujiandikisha kuliko unavyodhani.
Na sababu moja kubwa ni kwa ajili ya kujitambulisha...........Upo?Wenzio wana akili kuliko wewe...Pole
Uchunguzi huo ulifanyia wapi wewe gamba huu ndio mwisho wenu ccm haipendwi kila sehemu na bado chama kinachukiwa mpaka wenyeviti wnajiuzulu kila siku mpka sasa wenyeviti watatu wa mikoa na mwenyekiti wa wenyeviti naibu waziri waziri mkuu bado unajiongopea gamba weweUkifanya uchunguzi mdogo sana utakuta. Chadema inapendwa na wachagga ,wapare kidogo na wamasai wamehamia baada ya jamaa kukatwa.ukichunguza tena kidogo utagunduwa kuwa chadema inapendwa kaskazini na kwenye miji mikubwa kwa kiasi kidogo Kama mwanza,dar ,mbeya nk. Mkuu Tanzania ni zaidi ya hizo sehemu nilizokutajia.wala usitishike tena nimesahau kwa mf.kaskazini kwa sasa wambulu wamechukizwa sana na kiongozi wao Dr.Slaa kunyanyaswa wamerudi ccm wote.kwahiyo wala usiwe na shaka hizi kelele za hapa jf wala zisikuumize kichwa wapiga Kura wametulia wanasubiri mtanange.
si ulikuwa na wamasai, ulitegemea wakuchekee ilhali olaiboni kakatwa.
Nakupata kamanda Tetty
basi linaloenda arusha obviously weng ni wapenz wa chagadema na lowasa, unategemea wasifie ccm?
Naichukia CCM kuliko shetani!
Jamaaaani nimekupenda kweli. Mwaaaaahhhhhh
Hahahaaaaa, asante sana mkuu.