Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
akikuambia nchi itayumba na ccm tunazika Leo leo
Na haya ndo yanayosababisha akina kikwete wahangaike kutafuta watu wa kulinda maslahi yao mapana ikiwemo mgao wao pale stanbic
akikuambia nchi itayumba na ccm tunazika Leo leo
Pumzika salama C.C.M, tulikupenda sana, lakn Rushwa na ufisadi viliwapenda zaidi, mlikuja kwa KIJANI na mnarudi kwa MANJANO, NYUNDO tutatumia kugongelea JENEZA lako na JEMBE tutatumia kufukia KABURI lako! MUNGU ibariki CHADEMA MUNGU ibariki Tanzania, C.C.M PUMZIKA KWA AMANI, PEOPLES POWER LOWASSA POWER,
well done.Kumpa Kazi mtu asiyejipenda yeye mwenyewe anawezaje kupenda Kazi aliyopewa and so kuifanya kwa ufanisi?jana mimi nimemnyima fundi kazi kisa alikua anaitetea sana ccm nikaona bora aende zake nikamchukua mwengine asiyetetea utawala dhalimu!
well done.Kumpa Kazi mtu asiyejipenda yeye mwenyewe anawezaje kupenda Kazi aliyopewa and so kuifanya kwa ufanisi?
Naichukia CCM kuliko shetani!
Ukifanya uchunguzi mdogo sana utakuta. Chadema inapendwa na wachagga ,wapare kidogo na wamasai wamehamia baada ya jamaa kukatwa.ukichunguza tena kidogo utagunduwa kuwa chadema inapendwa kaskazini na kwenye miji mikubwa kwa kiasi kidogo Kama mwanza,dar ,mbeya nk. Mkuu Tanzania ni zaidi ya hizo sehemu nilizokutajia.wala usitishike tena nimesahau kwa mf.kaskazini kwa sasa wambulu wamechukizwa sana na kiongozi wao Dr.Slaa kunyanyaswa wamerudi ccm wote.kwahiyo wala usiwe na shaka hizi kelele za hapa jf wala zisikuumize kichwa wapiga Kura wametulia wanasubiri mtanange.
Njoo chukua 10000 ya soda.
Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.
Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.
Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).
Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.
Chama kirudishe dira ya kisasa, maadili na mshikamano.Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.
Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa wankiponda chama chetu vibaya sana. Nilijaribu kufurukuta kwa kueleza mazuri ya CCM lakini nilizomewa hadi nikajinyamazia.
Najiuliza ni nini CCM imewakosea Watanzania hata kuchukiwa ghafla hivi?! Inafikia hatua mtu unaona aibu kujitambulishia CCM. Kijana mmoja (abiria) alisema mtu akimfananishia CCM atamshitaki kwa kosa la kumkashifu (yaani akimhusisha na CCM).
Wanachama wenzangu nasi tuamke tukitee chama chetu.
Katika mjadala wenu hamkukumbuka japo lami safi toka mlikoazia hadi kumalizia safari ambayo ni sehemu ya zaidi ya KM 17,000 tulizojengewa awamu hii? Hamkuona shule nyingi njiani? Chakula mlichokula njiani kwenye hoteli nzuri hamkusifia kuwa ni sehemu tu ukilinganisha na akiba kubwa ya chakula kilichopo kwenye maghala ya serikali?