Hahahaaaa wew umepata mazoba....mimi haijawahi na sitakaa nililie mwanaume mimi akaaaa....kisa cha kulia lia ni nini duduu au?
Hiyo Ni Mbinu Nzuri Ya Kusaka Mke Wa Kuoa.
Lol usiseme hivyo unakufuru bali sema hivi "naomba Mungu nisililie mwanaume hata siku moja"
Rai yangu: kisa upo katikati ya mto usitukane mamba vuka maliza mto kwanza.
nimekumbuka mbaaal na nimeumia sana nisha kutana na hali kama hiyo.. du.. huwa nikifiria mpaka utumbo unatetemeka