RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,808
- 129,674
Mimi mstaafu nakula pensheni.Sasa utaishije,..au kaz unadhan ni lazma kuajiriwa mkubwa?..kaz ni kaz tuu ilimrad inaingiza pesa..au hatujaelewana maana sjaelewa unaposema huhitaj kaz.
Mimi mstaafu nakula pensheni.Sasa utaishije,..au kaz unadhan ni lazma kuajiriwa mkubwa?..kaz ni kaz tuu ilimrad inaingiza pesa..au hatujaelewana maana sjaelewa unaposema huhitaj kaz.
marekebisho sio "kufanya mapenzi ni uasherati"Marekebisho no.3
Sio tendo la ndoa ni kufanya mapenzi. Hilo tendo wanafanya walio na ndoa tu.
uasherati..uzinzi anafanya mwenye ndoa kwa mxhepuko, kama hajaoa ninuasheratiNi kuzini
Na ww umelemba. Sio mapenzi ni kuzini tu. Full stop
Sawa sawa ni Uasherati.uasherati..uzinzi anafanya mwenye ndoa kwa mxhepuko, kama hajaoa ninuasherati
Tendo bado ni la ndoa maana ni kwa ajili ya wenye ndoa hata ukifanya nje na hapo bd tendo ni la ndoa tu halibadilikiMarekebisho no.3
Sio tendo la ndoa ni kufanya mapenzi. Hilo tendo wanafanya walio na ndoa tu.
Siyo kufanya mapenzi ni kufanya ngono tena wakati mwingine yaweza kuwa ngono zembeMarekebisho no.3
Sio tendo la ndoa ni kufanya mapenzi. Hilo tendo wanafanya walio na ndoa tu.
Hapana sio mapenzi ni UZINZIMarekebisho no.3
Sio tendo la ndoa ni kufanya mapenzi. Hilo tendo wanafanya walio na ndoa tu.