Kwel siku ya kufa nyani.......daaah

Kwel siku ya kufa nyani.......daaah

Pole sana mkuu kwa kuhara,muite huyo mwanamke aliyekuletea sambusa akija mtie dore la ndumku kisha nusa mala tatu alafu kunywa maji glasi tatu,kuhara kutakata,,sawa tayari nakutakia tiba njema na ugua pole
 
Za mchana viongoz..leo ndo nmeanza likizo yangu..sasa kama kawaida kuna mdada hua anakuja kufanya usafi, nampigia sim anakuja,..ingawa pia jana nilimwambia beibe aje kuanzia jion

Cha ajab amekuja saa nne asubuh,.kamkuta huyu dada anafanya usafi,..huko nyuma aliwai kuja hiv hiv akamkuta,ulizuka ugomv,..na leo kaja kamkuta tena mdada huyu huyu wa siku ile,.halaf huyu dada wa usaf sjui vp,anajijua ana tako kuliko dem wangu halaf anavaa kaptura,dah

Maskin dem wangu kaniletea sambusa za nyama hapa nmezila ile saa nne asubuh,inshort tumekula wote,ila tokea hyo asubuh,naendesha vbaya mnooo.

Yaan
1.ugomv mkali had mdada wa kaz kaondoka et atamalizia mwenyew
2.naharisha kinoma noma,had nahis nmekonda ndan ya muda mfup,af dem ananicheka et,
3.nilipania tendo la ndoa leo vbaya mno ila mpaka dk hii hata nguv za hyo kitu sina

Uzi tayar
Duh.! Nchi hii utashangaa mtu mwenye mwandiko wa hivi na akili mbovu hivi anapewa ukuu wa mkoa!
 
Nashkuru kiongoz
Pole sana mkuu kwa kuhara,muite huyo mwanamke aliyekuletea sambusa akija mtie dore la ndumku kisha nusa mala tatu alafu kunywa maji glasi tatu,kuhara kutakata,,sawa tayari nakutakia tiba njema na ugua pole
 
Hakuna namna mkuu,ndio nchi yetu hii,acha vilaza tule maisha,nyie wenye akil tunategeme mtuandikie speech ,sis hatuna muda huo
Duh.! Nchi hii utashangaa mtu mwenye mwandiko wa hivi na akili mbovu hivi anapewa ukuu wa mkoa!
 
Sasa utaishije,..au kaz unadhan ni lazma kuajiriwa mkubwa?..kaz ni kaz tuu ilimrad inaingiza pesa..au hatujaelewana maana sjaelewa unaposema huhitaj kaz.
Sihitaji.
 
daaah...pole bro,unahara hadi harufu ya uharo inatokea kwenye huu uzi!mmnnnnfuuuuyy
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Za mchana viongoz..leo ndo nmeanza likizo yangu..sasa kama kawaida kuna mdada hua anakuja kufanya usafi, nampigia sim anakuja,..ingawa pia jana nilimwambia beibe aje kuanzia jion

Cha ajab amekuja saa nne asubuh,.kamkuta huyu dada anafanya usafi,..huko nyuma aliwai kuja hiv hiv akamkuta,ulizuka ugomv,..na leo kaja kamkuta tena mdada huyu huyu wa siku ile,.halaf huyu dada wa usaf sjui vp,anajijua ana tako kuliko dem wangu halaf anavaa kaptura,dah

Maskin dem wangu kaniletea sambusa za nyama hapa nmezila ile saa nne asubuh,inshort tumekula wote,ila tokea hyo asubuh,naendesha vbaya mnooo.

Yaan
1.ugomv mkali had mdada wa kaz kaondoka et atamalizia mwenyew
2.naharisha kinoma noma,had nahis nmekonda ndan ya muda mfup,af dem ananicheka et,
3.nilipania tendo la ndoa leo vbaya mno ila mpaka dk hii hata nguv za hyo kitu sina

Uzi tayar
Tendo la ndoa kwa demu?! Tendo la ndoa ni kwa mke tu kaka!! Uharo mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom