Watu bwana sasa kama Kusoma Hujui hata kuangalia picha nako hujui?umeshaambiwa mambo yalivyo bado unang'ang'ania.Mi nawashangaa sana kina dada hapo ujue mapenzi hakuna tena mbona mambo yako wazi?unalazimisha mkirudiana akawa sio muaminifu utamlaumu mtu?Ama kweli kina dada mwalimu wenu kipofu