Mama ameshafanya mabadiliko kwenye kila eneo nyeti na leo amegusa usalama wa taifa.
Tayari alishamaliza IGP, CDF, Spika, Takukuru, n.k bado serikali yake tu ndio hajaunda.
Majaliwa hatoboi 2023 hii. Itakuwa kwa zengwe, fitina, kashfa au chochote ila haendi mbali.
Tayari alishamaliza IGP, CDF, Spika, Takukuru, n.k bado serikali yake tu ndio hajaunda.
Majaliwa hatoboi 2023 hii. Itakuwa kwa zengwe, fitina, kashfa au chochote ila haendi mbali.