Hakuna wasiwasi wowote kwamba mashambulizi ya Israel ndani ya Iran yaliyopelekea kushambuliwa kwa vinu vyake vya nuklia na kuuwawa kwa makamanda wake wa kijeshi pamoja na wanasayansi wake wa juu kabisa ya nuklia yamefanikiwa kwa taarifa nyeti na ujasusi mahiri kutoka Mossad, bila ujasusi mkali yasingefanikiwa kwa ufanisi huo
Tumeona pia Israel ilivosambaratisha Hezbolah na uongozi wake wote sa ivi hezbolah wamebaki wapiga porojo tuu kama shehe ubwabwa Adiosamigo na wenzake. kwa sasa Mossad ni best kuliko hata Rusia Intelligency Agency
Iran ilikua inapewa tuu sifa za vijiweni
Tumeona pia Israel ilivosambaratisha Hezbolah na uongozi wake wote sa ivi hezbolah wamebaki wapiga porojo tuu kama shehe ubwabwa Adiosamigo na wenzake. kwa sasa Mossad ni best kuliko hata Rusia Intelligency Agency
Iran ilikua inapewa tuu sifa za vijiweni