Kwasasa kozi nyingi SUA zimejaa mnaofikilia kubadilisha kozi mtapoteza muda tu

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,802
Nimesoma thread za baadhi ya wanafunzi waliochaguliwa SUA kuulizia taratibu za kubadilisha kozi walizochaguliwa. Ukweli ni kuwa kozi nyingi kama si zote pale chuo zimejaaa.SUA si kama ya zamani. Huu utaratibu wa wanafunzi kuomba chuo moja kwa moja umesababisha vijana wengi kuomba vyuo vyenye sifa mtaani SUA ikiwemo. Na ikumbukwe kuwa SUA si chuo kikubwa kiivyo. Nimefatilia nilienda kuulizia nafasi baada ya mtoto wa kaka yangu kukosa kabisa nafasi kwa njia ya mtandao. Siwakatishi tamaa ni ushauri tu!!
 
Mimi nimesoma hapo sua unachokiongea ni ukweli zaidi ya 90%,, (ila kwa upande wa kubadilisha kozi ila mtazamo wako wa kusema sua sio chuo kikubwa kivile hio naweza kukukatalia) jamaa wapo serious sana hasa main campus at least mazimbu unaweza kubadilisha ukikaza sana.. Pia main campus kwa baadhi ya department ila department ya engineering ni ngumu sana kufanikiwa.
 
Wataenda kujionea hivi inaonekana miaka hii watu wanaodahiliwa wamezidi kuongezeka pale?
 
Watabadilishana course. Kuna wanaotaka kuamia course ambazo hao wanataka kuziama
 
Nimesoma thread za baadhi ya wanafunzi waliochaguliwa SUA kuulizia taratibu za kubadilisha kozi walizochaguliwa. Ukweli ni kuwa kozi nyingi kama si zote pale chuo zimejaaa.SUA si kama ya zamani. Huu utaratibu wa wanafunzi kuomba chuo moja kwa moja umesababisha vijana wengi kuomba vyuo vyenye sifa mtaani SUA ikiwemo. Na ikumbukwe kuwa SUA si chuo kikubwa kiivyo. Nimefatilia nilienda kuulizia nafasi baada ya mtoto wa kaka yangu kukosa kabisa nafasi kwa njia ya mtandao. Siwakatishi tamaa ni ushauri tu!!
Unaposema SUA sio chuo kikubwa una maanisha nini?
 
Nimesoma thread za baadhi ya wanafunzi waliochaguliwa SUA kuulizia taratibu za kubadilisha kozi walizochaguliwa. Ukweli ni kuwa kozi nyingi kama si zote pale chuo zimejaaa.SUA si kama ya zamani. Huu utaratibu wa wanafunzi kuomba chuo moja kwa moja umesababisha vijana wengi kuomba vyuo vyenye sifa mtaani SUA ikiwemo. Na ikumbukwe kuwa SUA si chuo kikubwa kiivyo. Nimefatilia nilienda kuulizia nafasi baada ya mtoto wa kaka yangu kukosa kabisa nafasi kwa njia ya mtandao. Siwakatishi tamaa ni ushauri Coz zote zimejaa.
 
Nimesoma thread za baadhi ya wanafunzi waliochaguliwa SUA kuulizia taratibu za kubadilisha kozi walizochaguliwa. Ukweli ni kuwa kozi nyingi kama si zote pale chuo zimejaaa.SUA si kama ya zamani. Huu utaratibu wa wanafunzi kuomba chuo moja kwa moja umesababisha vijana wengi kuomba vyuo vyenye sifa mtaani SUA ikiwemo. Na ikumbukwe kuwa SUA si chuo kikubwa kiivyo. Nimefatilia nilienda kuulizia nafasi baada ya mtoto wa kaka yangu kukosa kabisa nafasi kwa njia ya mtandao. Siwakatishi tamaa ni ushauri tu!!
Nimesoma thread za baadhi ya wanafunzi waliochaguliwa SUA kuulizia taratibu za kubadilisha kozi walizochaguliwa. Ukweli ni kuwa kozi nyingi kama si zote pale chuo zimejaaa.SUA si kama ya zamani. Huu utaratibu wa wanafunzi kuomba chuo moja kwa moja umesababisha vijana wengi kuomba vyuo vyenye sifa mtaani SUA ikiwemo. Na ikumbukwe kuwa SUA si chuo kikubwa kiivyo. Nimefatilia nilienda kuulizia nafasi baada ya mtoto wa kaka yangu kukosa kabisa nafasi kwa njia ya mtandao. Siwakatishi tamaa ni ushauri tu!!
Coz zotee zimejaa mkuu ulivoulizia.
 
Back
Top Bottom