Kwasababu ya Ukame, tutumie nishati ya jua badala ya maji kuzalisha umeme

Benjamin10

JF-Expert Member
Dec 31, 2016
389
553
Hivi kipindi hiki cha upungufu wa maji.

Kinachosababisha upungufu wa uzalishaji wa umeme.

Kukabiliana na hili kwann kusiwe na njia za dharura kama.

Ukame husababishwa na jua kali kwa kipindi cha muda mrefu, kwa maana hiyo ingetakiwa tutumie nishati ya jua badala ya maji kuzalisha umeme.

Vilevile hua kuna upepo, hivyo tungetumia upepo pia kuzalisha umeme.

Hizo njia mara nyingi hazina gharama sana ukilinganisha na gas na mafuta.

Pindi maji yanapopungua tunatumia njia hzo kama dharura.

Serikali inakwama wapi?

Ngoja nimalizie kuvuta zangu bhange nije na wazo jengne
 
Hata wakisema watumie jua mambo Yale Yale kwan gesi inafanyaje. Walisema tutakua na umeme wa kutosha haya sasa kikowapi mpasahz wanahaha na megawatt 30+
 
Hata wakisema watumie jua mambo Yale Yale kwan gesi inafanyaje. Walisema tutakua na umeme wa kutosha haya sasa kikowapi mpasahz wanahaha na megawatt 30+
Taaluma haitakiwi uingize siasa itakuumbua na kweli
 
Haya mambo yalishasemwa lakini bado tunaendelea kuteketeza matrilion kwenye miradi inayotegemea maji ambayo hatuna uhakika kama yatakuwepo.
 
Back
Top Bottom