cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
[QUOTE="cariha, poskituo231919, member:28Kwakwenyingi za hovyo hovyo sana yani MMU kulikuwaga na topic nzuri kule sikuhizi kuna topic nyingi za hovyo, yani ambazo zinachochea vitu vya ajabu kwenye mahusiano, mi my favorite jukwaa langu ni jamii intelligence kule kuna watu wanajua mambo, sana IQ zao kubwa, Jamii intelligence idumu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli jamii inteligence ni bonge la jukwaa Mimi huko ndo huwa kituo changu pendwa.
Kwakweli MMU kumejaa mada za hovyo hovyo tu.[/QUOTE]MMU kuna mada hovyo wanaume wazima great thinker eti wanafundishana kumvizia housgirl hata FB hamna ujinga huo, zamani MMU was best kwangu ila sikuhizi mada hovyo hovyo.
Wooi bora tu niwe nakesha jamii intelligence najifunza vingi muhimu.
Sent using Jamii Forums mobile app