Kwann views ni nyingi kuliko comments?

[QUOTE="cariha, poskituo231919, member:28Kwakwenyingi za hovyo hovyo sana yani MMU kulikuwaga na topic nzuri kule sikuhizi kuna topic nyingi za hovyo, yani ambazo zinachochea vitu vya ajabu kwenye mahusiano, mi my favorite jukwaa langu ni jamii intelligence kule kuna watu wanajua mambo, sana IQ zao kubwa, Jamii intelligence idumu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app


Kweli jamii inteligence ni bonge la jukwaa Mimi huko ndo huwa kituo changu pendwa.

Kwakweli MMU kumejaa mada za hovyo hovyo tu.[/QUOTE]MMU kuna mada hovyo wanaume wazima great thinker eti wanafundishana kumvizia housgirl hata FB hamna ujinga huo, zamani MMU was best kwangu ila sikuhizi mada hovyo hovyo.

Wooi bora tu niwe nakesha jamii intelligence najifunza vingi muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sababu unakuta umefungua thread (umeview) lakini haijakuimpress unaiacha (hujacoment) hiyo ndio sababu
 
Comments nyingi zinategemea na topic kwa thread husika,,

Leta topic inayohusu kuvua.na nguo,=comments nyingi

Leta mada nyingine =comments chache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTE="cariha, poskituo231919, member:28Kwakwenyingi za hovyo hovyo sana yani MMU kulikuwaga na topic nzuri kule sikuhizi kuna topic nyingi za hovyo, yani ambazo zinachochea vitu vya ajabu kwenye mahusiano, mi my favorite jukwaa langu ni jamii intelligence kule kuna watu wanajua mambo, sana IQ zao kubwa, Jamii intelligence idumu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app


Kweli jamii inteligence ni bonge la jukwaa Mimi huko ndo huwa kituo changu pendwa.

Kwakweli MMU kumejaa mada za hovyo hovyo tu.[/QUOTE]Hata huko jamii intelligence siku hizi watu hawaleti nondo kama zamani ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefuatilia thread nyingi sana unakuta 90k views ila 1k comments...nimejiuliza sipati majibu...ni kwann
Mbona iko simpo sana. Kuna members wana id na wanalogin, anasoma c9mment ila hacommemt na kuna wengine sio members ila ni wasomaji. Mfano mimi nimekuwa nasoma JF toka 2016 ila nimejiunga rasmi mwaka huu.
 
Unasoma uzi, unapata elimu then huoni cha kukoment, unatoka.

Unasoma uzi, unakutana na vitu vya ajabu ajabu tu, unaupuuza.

Unasoma uzi, unakutana na marudio ya mambo ambayo yalishawahi kujadiliwa, unaachana nao.

Kuna wanaoview nyuzi kama guests, hawawezi kuchangia.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom