Je, yaliyopo YouTube channels za kibongo yanaakisi akili ya Mtanzania?

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,716
3,365
Ukitembelea YouTube channel za wenzetu huko 'mbere' utaweza kujifunza maarifa mengi sana ktk eneo lolote lile iwe ni ishu ya kisayansi, siasa, uchumi, kijamii n.k ukipitia posts na zile comments za wachangiaji ni darasa tosha.

Na hii haijalishi kama media husika ni rasmi yani zile za serikali au mashirika rasmi ya habari, bali hata zile media za wahusika binafsi.

Sasa kimbembe tembelea YouTube channels za kibongo unakuta post nyingi ni habari za wanasiasa, habari za matukio na uzushi (udaku).

Yani ni nadra sana kukuta habari za kujenga maarifa.

Sasa nenda kwenye comments za wachangiaji huko sasa ndo vimejaa vitimbi vitupu unakuta mtu anaandika ''kama unanikubali like hapa" au unakuta badala ya kuandika chochote, mtu anaweka alama ya moto tu yani full vituko.

Hivi watz tuna matatizo gani?
 
Kichwa kinachowaza shida na matatizo ya umasikini hakiwezi kamwe kufikiri na kuandika lolote la maana.

Wape udaku, tetesi na stori za Simba na Yanga kisha watawale utakavyo.
 
Hata ukiyataka maujinga ya mbele yanayofanana na bongo yako kibao YouTube

Mkuu tembea ujionee binadamu ni walewale tabia za watu ni zilezile asikwambie mtu
 
Japo ulikuwa na mazuri yake , ila ukomunisti ulituathiri sana wananchi katika kuyaelewa mambo mtambuka ya dunia kiundani tukaacha wachache kufikiria kwa niaba yetu! Unategemea nini? Na kujifanya wajuaji wa kila kitu , ndio matokeo yake hayo ndugu
 
Ukitembelea YouTube channel za wenzetu huko 'mbere' utaweza kujifunza maarifa mengi sana ktk eneo lolote lile iwe ni ishu ya kisayansi, siasa, uchumi, kijamii n.k ukipitia posts na zile comments za wachangiaji ni darasa tosha.

Na hii haijalishi kama media husika ni rasmi yani zile za serikali au mashirika rasmi ya habari, bali hata zile media za wahusika binafsi.

Sasa kimbembe tembelea YouTube channels za kibongo unakuta post nyingi ni habari za wanasiasa, habari za matukio na uzushi (udaku).

Yani ni nadra sana kukuta habari za kujenga maarifa.

Sasa nenda kwenye comments za wachangiaji huko sasa ndo vimejaa vitimbi vitupu unakuta mtu anaandika ''kama unanikubali like hapa" au unakuta badala ya kuandika chochote, mtu anaweka alama ya moto tu yani full vituko.

Hivi watz tuna matatizo gani?
Youtube watu wanatafta pesa, wabongo ndizo habari wanazopenda ndio maana mange kimambi app anaingiza mpunga mrefu kuliko uanzishe app sijui ya kuwafunza watu maarifa.
We anzisha youtube channel ya vitu vya maana uone views utalazozipata
 
Ukitembelea YouTube channel za wenzetu huko 'mbere' utaweza kujifunza maarifa mengi sana ktk eneo lolote lile iwe ni ishu ya kisayansi, siasa, uchumi, kijamii n.k ukipitia posts na zile comments za wachangiaji ni darasa tosha.

Na hii haijalishi kama media husika ni rasmi yani zile za serikali au mashirika rasmi ya habari, bali hata zile media za wahusika binafsi.

Sasa kimbembe tembelea YouTube channels za kibongo unakuta post nyingi ni habari za wanasiasa, habari za matukio na uzushi (udaku).

Yani ni nadra sana kukuta habari za kujenga maarifa.

Sasa nenda kwenye comments za wachangiaji huko sasa ndo vimejaa vitimbi vitupu unakuta mtu anaandika ''kama unanikubali like hapa" au unakuta badala ya kuandika chochote, mtu anaweka alama ya moto tu yani full vituko.

Hivi watz tuna matatizo gani?
Kumezuka zile channel za mahojioni ya kwa mparange mtu kaliwa na baba mkwe utajifunza nini hapo!
 
Back
Top Bottom