Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

hivi ushawishi alionao ZZK unaanzia wap kusema et anajuta? ZZK akiitisha mkutano mkoa wowote ni mafuriko ya watu hilo hata Prof Lipumba namuheshim sana lkn hili analifaham kuwa ZZK kwa sasa is another person

Endelea kujidanganya,vipi alivyopigwa mawe geita,bukoba na mbeya?hivi watu kujaa kwenye mkutano ndio kupata uongozi?naona wewe ni mgeni wa siasa,muulize lyatonga
 
Ataendelea sana kuwaboa watu wa CHADEMA mlitegemea atayumba ng'o hayumbi mtu ACT inasonga mbele kwa mbele. Mtume Zitto endelea kuwatetea watanzania usiwajali wanaokubeza iko siku wataelewa unachowafundisha. Hongera kwa kuachana na saccos(CDM) ya kina Mtei

Atayumba sana hasa pale atakavyo ukosa udiwani ndio atajuta na kutamani akawapigie magoti cdm
 
Chadema mtakufa na pressure mwaka huu. Zitto mmemfukuza wenyewe lakini bado mmebaki na jinamizi. Mlivyokuwa na upeo finyu mlifikiri kumfukuza kwenye chama chenu utakuwa ndio mwisho wake kisiasa. Kwa haraka sana mliyasahau yote mazuri aliyoyafanya alipokuwa Chadema.

Inashangaza sana kuona kuwa hata baada ya kujiondokea nyinyi bado mnamfuatilia kila kukicha. Yeye keshawasahau yuko chama kingine anajifanyia kazi zake lakini nyinyi kila siku Zitto, Zitto. Sasa ndio mnautambua uzito wake. Ni sehemu gani ya nchi hii ambapo Zitto hakupita kuijenga Chagadema? Au mlifikiri wanawake wa makabila mengine hapa Tanzania hawana matumbo ya kuweza kuzaa viongozi? Kweli mmenoa sana na bado mtazidi kuumbuka.
Hebu muacheni Zitto afanye kazi yake kwa amani maana katika siasa wananchi ndio wanaoamua.

Acheni wivu wa kijinga. Ni sawa na mtu aliemuacha mke wake kwa hiari yake, sasa mke kaolewa na bwana mwingine
yeye kila siku nikumfuatilia tu nyendo zake na hila kibao. Kama kweli mnaamini Zitto amekwisha kisiasa na hana nguvu yo yote ile tena katika jamii, hiyo si ndio iwe sasa furaha na shangwe kwenu? Si adui yenu ameshindwa? Sasa inakuaje tena adui alieshindwa anawanyima usingizi? Sasa nawaambia mkome kuwahadaa watu. Zitto anawauma kama kidonda usiku na mchana, tena amekuwa ni mwiba mchungu kwenu.
Hebu mkomeni na muacheni afanye siasa zake kwa amani. Wanafiki wakubwa nyinyi. Mmekua yule sungura wa, "Sizitaki hizi mbichi" Shame on you guys! Hamkujua kuwa Mungu anaweza kumfungia mtu mlango na akamfungulia dirisha? Ila kwake Zitto, Mungu alimfungia dirisha na sasa kamfungulia mlango. Mtashaaaa!!!
 
Ataendelea sana kuwaboa watu wa CHADEMA mlitegemea atayumba ng'o hayumbi mtu ACT inasonga mbele kwa mbele. Mtume Zitto endelea kuwatetea watanzania usiwajali wanaokubeza iko siku wataelewa unachowafundisha. Hongera kwa kuachana na saccos(CDM) ya kina Mtei

Misukule ya Gwajima ni rahisi sana kuitambuwa maana kwao mzinzi yeyote ana sifa ya Utume.
 
-
- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- .
Si ndio maana CDM waka ikaribisha ACT ndani wa UKAWA kwa bila kinyongo kabisa !!!:A S wink:
 
Misukule ya Gwajima ni rahisi sana kuitambuwa maana kwao mzinzi yeyote ana sifa ya Utume.

Hizo sifa zote za usukule na uzinzi ulizotaja anazo babu slaa mchumba wake mshumbusi rais wako Wa ndotoni
 
Hizo sifa zote za usukule na uzinzi ulizotaja anazo babu slaa mchumba wake mshumbusi raid wako Wa ndotoni

Zitto ameowa lini? Ana mtoto haram kwa mujibu wa uislamu na anaendelea kuzini mpaka amenogowa mpaka hakumbuki kama kuna kuowa.

Wazinifu wawili hawawezi kuhalalisha zinaa kuwa halaal.

Kama Dr Slaa anazini ni mzinzi sawa na Zitto tu, simply wazinifu wawili. Got it msukule?
 
Zitto ameowa lini? Ana mtoto haram kwa mujibu wa uislamu na anaendelea kuzini mpaka amenogowa mpaka hakumbuki kama kuna kuowa.

Wazinifu wawili hawawezi kuhalalisha zinaa kuwa halaal.

Kama Dr Slaa anazini ni mzinzi sawa na Zitto tu, simply wazinifu wawili. Got it msukule?

Acha ulofa we pimbi nan kakwambia bachela huwa anazini? Zito bado kijana kula mizigo halali yake. Huyo ajuza wako ana laana ndio maana anaingia kwenye ndoa za watu na kuchukua wake za watu. rose kamili hadi mshumbusi. Mzee Wa miaka 70 kuish maisha ya uchumba na wajukuu zake kama sio laana no nn?
 
Kwanini thread inayomuhusu ZZK huwa inakuwa na wachangiaji wengi kuliko thrrads nyingi? Kwann watu wanashughulika naye wakati yeye anaendelea na yake? Yupo kwa ajili ya kutafuta 58% ya wale wasiopiga kura kama anavyodai......tumwache aendelee na yake na sie tuendelee na yetu
 
Kwanini thread inayomuhusu ZZK huwa inakuwa na wachangiaji wengi kuliko thrrads nyingi? Kwann watu wanashughulika naye wakati yeye anaendelea na yake? Yupo kwa ajili ya kutafuta 58% ya wale wasiopiga kura kama anavyodai......tumwache aendelee na yake na sie tuendelee na yetu

Ungeanza wewe Kilaza wa kwanza kuachana na hii thread.
 
Acha ulofa we pimbi nan kakwambia bachela huwa anazini? Zito bado kijana kula mizigo halali yake. Huyo ajuza wako ana laana ndio maana anaingia kwenye ndoa za watu na kuchukua wake za watu. rose kamili hadi mshumbusi. Mzee Wa miaka 70 kuish maisha ya uchumba na wajukuu zake kama sio laana no nn?

Wewe ni dini gani? Huenda Lucifer agent upo online jitambulishe kwanza kabla hujanipotezea muda wangu.
 
WanaJF,

Kiongozi mkuu ZZK, kama tunavyofahamu alifukuzwa CHADEMA baada ya kugundulika kuwa ni msaliti, alikuwa akifanya kazi ya CCM ili kuidhoofisha CHADEMA. Siri zote za CHADEMA na mikakati yote alikuwa akiivujisha.

Mtakumbuka nami kuwa tangu atoke CHADEMA kumekuwa na hali ya amani na utulivu, kwani mipango yote inayopangwa hutekelezwa sawia, kwani hakuna siri inayovuja kabla.

Mtakumbuka pia kuwa ZZK alinukuliwa akisema kuwa alianzisha ACT akiwa ndani ya CHADEMA, hiyo ni baada ya kuona kuwa mission zake ikifeli, yaani kazi aliyotumwa na bosi wake CCM alikuwa akishindwa kufanikisha.
Sasa tunaona mwendelezo wa mpango uliofeli wa kuiangusha CHADEMA umeanza.

Mpango huo, japo hautafanikiwa tena, ataanza kuutekeleza kutumia chama chake, yaani kujenga upinzani dhidi ya uKAWA hasa CHADEMA, huku akijaribu "kuokoa jahazi la CCM' linalozama.
 
Mti wenye matunda hamuwez Fanya siasa bila kumtaja zzk inaonekana kunavitu amewazd ndo man's mnahofu nae
 
Zitto atawaumiza mwaka huu. Daily chadema mkipost lazma mmtaje zitto. Hivi ni nini? Mumuache bwana
 
mtaimba ngonjera zote mwaka huu,, ma mtafurahi tu wenyew,, mwenyew akili timamu haambiw na kukariri ni lazima atafakari,, na mtamaliza porojo zote na adabu mtaipata,, TZZK ndo kiongozi bora TZ kwa sasa hao wengine hawana Sera kabisa/
 
Nilijua tu ujuaji wenu ungewapatia aibu kubwa sana badae.Hawa majamaa walijiona wasomi na akili nyingi.Waliunda waraka wa kutaka kumpindua Mbowe,pamoja na mengi pia walijitanganya kuwa eti Chadema imepoteza dira,kibaya zaidi walimdharilisha Mh.Mbowe na kumuandika kuwa yupo "local".Sasa tunamuomba Zito na genge lake mkazie kauli yenu..Mkizingatia kuwa mmejipambanua kuwa Chama chenu ni cha kisomi,lakini mmefikia hatua ya kukosa mgombea urais.Mara Dr.Mkumbo,...amekula chocho.Mkamleta Mwigamba nae amekimbia.hatimae mmemzoa mama Mwenyekiti...Leo hii tume inawakana na kufafanua kuwa fomu iliyochukuliwa awali inatakiwa kujazwa na kurudishwa na Dr.Kitila tu na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom