Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Mbowe ni mlafi wa madaraka na asipoangalia uwaziri atausikia chooni

Uwaziri wa wapi? Mbowe anajua fika Lowasa hapati urais ila alikula pesa yake tu na kukubali kuwa timu Lowasa. Mwisho wa siku CHADEMA wala Lowasa hawataunda serikali sasa Mbowe ategemee urais kutoka wapi? Yeye deal yake iliisha alipochuma pesa kutoka kwa anayetafuta urais kwa udi na uvumba.
 
mjinga wa siasa za upinzani wewe!ivi unajua Dr.slaa 2010 alikataa katakata
akalazimishwa na wajumbe ikiwemo kumhakikishia kulindwa kwa masrahi yake ndipo akakubali na hiyo haikuwa kwake tu hadi kwa mboe ile 2005 hali ilikua hivyo hivyo.
Kwa mtu yeyote mwenye akili hawezi kukizarau hata kidogo ACT,chama chenye mda mchache tu na sasa ni chama cha pili kwa kusimamisha wabunge wengi kwenye uchaguzi huu 2015 ikivipuku vyama vyote vya upinzani vilivyo anzishwa takribani miaka 20 na zaidi.

CHADEMA kipo kw miaka ishirini kimeshindwa kuandaa mgombea wa maana hadi mnaenda kuomba makapi kutoka CCM leo unapata wapi ujasiri wa kukisema chama chenye mwaka mmoja tu nusu!?

Aibu kubwa sana hii!
 
Uwaziri wa wapi? Mbowe anajua fika Lowasa hapati urais ila alikula pesa yake tu na kukubali kuwa timu Lowasa. Mwisho wa siku CHADEMA wala Lowasa hawataunda serikali sasa Mbowe ategemee urais kutoka wapi? Yeye deal yake iliisha alipochuma pesa kutoka kwa anayetafuta urais kwa udi na uvumba.

Awamu hii uligoma kutangaza nia?
 
Ukitumiwa sana unajisahau, ndio maana hata hizi taasisi nyingine inabidi wamrudie JK pale aliposema "za kuambiwa changanya na zako". Dhambi ya usaliti haimwachi mtu.
 
Ukitumiwa sana unajisahau, ndio maana hata hizi taasisi nyingine inabidi wamrudie JK pale aliposema "za kuambiwa changanya na zako". Dhambi ya usaliti haimwachi mtu.

Mbona lowasa ni msaliti amsemi yaan chadomo mnajitukana wenyewe


Ukitumiwa sana unajisahau, ndio maana hata hizi taasisi nyingine inabidi wamrudie JK pale aliposema "za kuambiwa changanya na zako". Dhambi ya usaliti haimwachi mtu.
 
Nilijua tu ujuaji wenu ungewapatia aibu kubwa sana badae.Hawa majamaa walijiona wasomi na akili nyingi.Waliunda waraka wa kutaka kumpindua Mbowe,pamoja na mengi pia walijitanganya kuwa eti Chadema imepoteza dira,kibaya zaidi walimdharilisha Mh.Mbowe na kumuandika kuwa yupo "local".Sasa tunamuomba Zito na genge lake mkazie kauli yenu..Mkizingatia kuwa mmejipambanua kuwa Chama chenu ni cha kisomi,lakini mmefikia hatua ya kukosa mgombea urais.Mara Dr.Mkumbo,...amekula chocho.Mkamleta Mwigamba nae amekimbia.hatimae mmemzoa mama Mwenyekiti...Leo hii tume inawakana na kufafanua kuwa fomu iliyochukuliwa awali inatakiwa kujazwa na kurudishwa na Dr.Kitila tu na si vinginevyo.

Unaongelea waraka huu???
 

Attachments

Nilijua tu ujuaji wenu ungewapatia aibu kubwa sana badae.Hawa majamaa walijiona wasomi na akili nyingi.Waliunda waraka wa kutaka kumpindua Mbowe,pamoja na mengi pia walijitanganya kuwa eti Chadema imepoteza dira,kibaya zaidi walimdharilisha Mh.Mbowe na kumuandika kuwa yupo "local".Sasa tunamuomba Zito na genge lake mkazie kauli yenu..Mkizingatia kuwa mmejipambanua kuwa Chama chenu ni cha kisomi,lakini mmefikia hatua ya kukosa mgombea urais.Mara Dr.Mkumbo,...amekula chocho.Mkamleta Mwigamba nae amekimbia.hatimae mmemzoa mama Mwenyekiti...Leo hii tume inawakana na kufafanua kuwa fomu iliyochukuliwa awali inatakiwa kujazwa na kurudishwa na Dr.Kitila tu na si vinginevyo.

Hili swali nenda kamuulize Dr slaa
 
Kusimamisha wagombea wengi si hoja!!! Je mtashinda ? Au mtaishia kugawa kura tu? Chama chenyewe bendela tu inaonekana kwa tochi, halfu unasema wingi wa wagombea, elewa kwa sasa kuna uhaba wa ajira vijana wanaona ndo fursa hizo tofauti na miaka 20 iliyopita, pili, serikali imeacha kunyanyapaa upinzani ndio maana utaona mwaka huu mwamko umekuwa mkubwa ukilinganisha na 20 yrs ago.
 
Nilijua tu ujuaji wenu ungewapatia aibu kubwa sana badae.Hawa majamaa walijiona wasomi na akili nyingi.Waliunda waraka wa kutaka kumpindua Mbowe,pamoja na mengi pia walijitanganya kuwa eti Chadema imepoteza dira,kibaya zaidi walimdharilisha Mh.Mbowe na kumuandika kuwa yupo "local".Sasa tunamuomba Zito na genge lake mkazie kauli yenu..Mkizingatia kuwa mmejipambanua kuwa Chama chenu ni cha kisomi,lakini mmefikia hatua ya kukosa mgombea urais.Mara Dr.Mkumbo,...amekula chocho.Mkamleta Mwigamba nae amekimbia.hatimae mmemzoa mama Mwenyekiti...Leo hii tume inawakana na kufafanua kuwa fomu iliyochukuliwa awali inatakiwa kujazwa na kurudishwa na Dr.Kitila tu na si vinginevyo.

weka akiba ya maneno
 
Back
Top Bottom