Kwanini Zanzibar hawana Zanzibar air?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,874
Hivi masuala ya anga ni ya Muungano?
Zanzibar hawawezi anzisha shirika Lao la ndege??

Hatuwezi rekebisha wakawa na shirika lao la ndege?

Binafsi naona kama Utalii sio suala la Muungano basi na masuala ya biashara ya ndege na anga itenganishwe..ibaki kwenye ulinzi Tu...

Zanzibar ikiwa na shirika lake itawasaidia Sana kwenye Utalii ...wakiwa serious..


Sheria zikoje??
 
Kwa sababu, sisi, sote ni ndugu, watoto wa baba mmoja, kaka na dada.
 
Hivi masuala ya anga ni ya Muungano?
Zanzibar hawawezi anzisha shirika Lao la ndege??

Hatuwezi rekebisha wakawa na shirika lao la ndege?

Binafsi naona kama Utalii sio suala la Muungano basi na masuala ya biashara ya ndege na anga itenganishwe..ibaki kwenye ulinzi Tu...

Zanzibar ikiwa na shirika lake itawasaidia Sana kwenye Utalii ...wakiwa serious..


Sheria zikoje??
Mkuu Zanzibar kama hakuna kampuni ya usafiri wa ndege yenye jina la Zanzibar Air, hata wewe unaweza kuanzisha kampuni ya usafiri wa ndege na ukaipa jina la zanzibar Air sidhani kama itakua tatizo
 
Mkuu Zanzibar kama hakuna kampuni ya usafiri wa ndege yenye jina la Zanzibar Air, hata wewe unaweza kuanzisha kampuni ya usafiri wa ndege na ukaipa jina la zanzibar Air sidhani kama itakua tatizo

Namaanisha national airline ..
 
Kulikuwepo na shirika la zan air,serikali ya zanzibar walikuwa ni sharehoder...
Sasa sijajua kama mpaka sahv shirika lipo au
Labda ujaribu kufatilia

Ova
 
NATIONAL AIRLINES ya bara inaendeshwa kihsarahasara, ya Zanzibar nayo ingeleta faida gani?

Hasara zinasababishwa na mipango mibovu
Na siasa..

Ya Zanzibar sio lazima ifanane na ya bara
Kwanza Zanzibar wanaweza kuwa na Safari za kimataifa only..wasiwe na local flights Kabisa..

Kingine ni kodi..
Wanaweza kuwa na policy tofauti ya kodi
 
Ikiwa mamlaka ya maji znz wanalalamika wananchi hawalipi NUA sasa wataweza kuendesha shirika la ndege
 
Zanzibar hawana uwezo wa kununua ndege yoyote ya maana, bajeti yao haifiki hata 1tr unategemea wanunue ndege kweli?
 
Zanzibar ikiwa na shirika lake itawasaidia Sana kwenye Utalii ...wakiwa serious..


Sheria zikoje??

..kama shirika la ndege ni muhimu ili kuvutia watalii basi disney world resort wangeanzisha shirika la ndege.

..mwaka 2018 disney world resort walipokea watalii millioni 58 lakini hawana shirika la ndege.

..biashara ya usafiri wa anga kwa nchi masikini kama Tanzania, Kenya, Rwanda, nk ni biashara kichaa na hasara tupu.
 
Hasara zinasababishwa na mipango mibovu
Na siasa..

Ya Zanzibar sio lazima ifanane na ya bara
Kwanza Zanzibar wanaweza kuwa na Safari za kimataifa only..wasiwe na local flights Kabisa..

Kingine ni kodi..
Wanaweza kuwa na policy tofauti ya kodi
Taja airline tatu ndani ya Afrika zinazoendeshwa kwa faida then washauri Zanzibar
 
Hawa jamaa wapo wapo tu hata vyombo vya uvuvi vinawashinda , Wangenunua speed boat wangekuwa mbali
 
Hasara zinasababishwa na mipango mibovu
Na siasa..

Ya Zanzibar sio lazima ifanane na ya bara
Kwanza Zanzibar wanaweza kuwa na Safari za kimataifa only..wasiwe na local flights Kabisa..

Kingine ni kodi..
Wanaweza kuwa na policy tofauti ya kodi
Mkuu kwanza katika biashara ngumu zaidi duniani ni biashara ya usafiri wa ndege, ndio maana kati ya makampuni yanayozugumzia hasara zaidi duniani ni ya ndege na ukisema Zanzibar wangeachana na local travel na kujikitazaidi na international travel, nani apande ndege ya Zanzibar wakati anayaona makampuni makubwa ya ndege kama KLM, SWISS AIR, LUFTHANSA, EMIRATE, QADAR AIRWAYS, BRITISH AIRWAYS nk yenye uhakika wa usalam
 
Back
Top Bottom