Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Mi mkazi wa mwanza. Enzi za kukata vicha dagaa bei ilikuwa sh hamsini. Sasa ni miatano. Hebu fikiria ukiwakata kichwa ni kama unabakiza 1/3. Sasa hapo si wanakuwa mameisha.
Na pia improvement za mapish nazo zimesaidia
Na pia improvement za mapish nazo zimesaidia