Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
Unajua kwanini yanga hawataki kusikia simba wanashika nafasi ya pili?
Kabla ya ligi ya msimu ujao kuanza kunakuwa na pambano la ngao ya jamii inayoikutanisha mshindi wa kwanza na wa pili. Sasa unafikiri yanga wanapenda hilo?
Ndio maana wapo tayari kufungwa na azam ili simba tuu wasishike nafasi ya pili
kwa nini wakubali kukutana na simba ambayo inawapa fedheha kila wakati. Wanaomba kila kukicha azam wapate nafasi ya pili ili waepukane na gharika itayowakuta kwenye mchezo wa ngao ya hisani
Kabla ya ligi ya msimu ujao kuanza kunakuwa na pambano la ngao ya jamii inayoikutanisha mshindi wa kwanza na wa pili. Sasa unafikiri yanga wanapenda hilo?
Ndio maana wapo tayari kufungwa na azam ili simba tuu wasishike nafasi ya pili
kwa nini wakubali kukutana na simba ambayo inawapa fedheha kila wakati. Wanaomba kila kukicha azam wapate nafasi ya pili ili waepukane na gharika itayowakuta kwenye mchezo wa ngao ya hisani