Tetesi: Kwanini yanafanyika malipo yasiyoeleweka?

Tetesi: Kwanini yanafanyika malipo yasiyoeleweka?

mkuu kuna kitu huwa sielewi , kwa wenye ujuzi tunaomba mtufahamishe --- Pesa inaweza kuibiwa vipi BOT au HAZINA bila kujulikana nani kachukua na kaenda kuifanyia nini?


Na kwa kipekee kabisa kama JPM tunakubaliana alikuwa ndo shujaa wetu iliwezekana vipi yeye ndani ya miaka 6 ya uongozi wake alishindwa kuweka mfumo wa kudhibiti kwamba pesa ya serikali kutoibiwa kupitia sehemu hizo mbili. Namtumia JPM kwa sababu yeye ndo anakubalika na wengi kama SHUJAA na MZALENDO

Moja kati ya Makosa ya Jiwe aliamini katika Yeye, Yani yeye ndo alikua Mfumo.

Hakujisumbua kusuka Mifumo Imara, Akifikiri yeye atatawala milele
 
mkuu kuna kitu huwa sielewi , kwa wenye ujuzi tunaomba mtufahamishe --- Pesa inaweza kuibiwa vipi BOT au HAZINA bila kujulikana nani kachukua na kaenda kuifanyia nini?


Na kwa kipekee kabisa kama JPM tunakubaliana alikuwa ndo shujaa wetu iliwezekana vipi yeye ndani ya miaka 6 ya uongozi wake alishindwa kuweka mfumo wa kudhibiti kwamba pesa ya serikali kutoibiwa kupitia sehemu hizo mbili. Namtumia JPM kwa sababu yeye ndo anakubalika na wengi kama SHUJAA na MZALENDO
Mafungu ya pesa za bajeti ya mwaka uliopita badala ya kurudishwa hazina, watendaji wanabuni matumizi yakulazimisha yanayolenga kuonyesha kuwa pesa zilitumika. Watendaji hujipangia safari mikoani, warsha na semina au utalii wa ndani kama ule uliofanywa Zanzibar watumishi wa wizara moja mwishoni mwa mwezi wa sita.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Mafungu ya pesa za bajeti ya mwaka uliopita badala ya kurudishwa hazina, watendaji wanabuni matumizi yakulazimisha yanayolenga kuonyesha kuwa pesa zilitumika. Watendaji hujipangia safari mikoani, warsha na semina au utalii wa ndani kama ule uliofanywa Zanzibar watumishi wa wizara moja mwishoni mwa mwezi wa sita.
sawa nimekuelwa mkuu --- ila mtoa mada anasema pesa zimekwapuliwa huko hazina zinapokaa

mwisho Magu kwanini hakuziba hii loophole - kwa ushupavu wake sidhani kama hakuna hii loophole?

tunakwama wapi kujenga mifumo imara?
 
Kwanini mwezi huu, mwaka huu pesa za serikali zinalipwa mabilion kwa mabilioni? Kuna Nini?

BOT imetekwa na hazina watu wanalipa malipo mengi hewa

TISS kitengo Cha fedha chafu mmelala?

Nchi inaibiwa nchi inaporwa naona waporaji wanakausha Kama walivyofanya baada ya Magufuli kufariki.

Wazalendo simameni tukomboe nchi!
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
ungejibu swali
Ndio nakuuliza fedha za serikali uwa zinaibiwaje? Kama hujui zinaibiwaje kawatafute accountants wa serikali watakupa elimu mimi siwezi kukupa elimu hapa huo muda Sina, lengo langu hapa ni kutoa taarifa wahusika wawe macho. Kama na wewe ni mmoja wa wezi be careful!
 
sawa nimekuelwa mkuu --- ila mtoa mada anasema pesa zimekwapuliwa huko hazina zinapokaa

mwisho Magu kwanini hakuziba hii loophole - kwa ushupavu wake sidhani kama hakuna hii loophole?

tunakwama wapi kujenga mifumo imara?
Hawawezi kuziba loophole ambayo inawanufaisha wote kwa kulindana, ile kitu inayoitwa ''Collective responsiblity'' inawahusu wote kutoka juu hadi chini.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ndio nakuuliza fedha za serikali uwa zinaibiwaje? Kama hujui zinaibiwaje kawatafute accountants wa serikali watakupa elimu mimi siwezi kukupa elimu hapa huo muda Sina, lengo langu hapa ni kutoa taarifa wahusika wawe macho. Kama na wewe ni mmoja wa wezi be careful!
UMegoma
 
Hawawezi kuziba loophole ambayo inawanufaisha wote kwa kulindana, ile kitu inayoitwa ''Collective responsiblity'' inawahusu wote kutoka juu hadi chini.
Shukrani
 
Mafungu ya pesa za bajeti ya mwaka uliopita badala ya kurudishwa hazina, watendaji wanabuni matumizi yakulazimisha yanayolenga kuonyesha kuwa pesa zilitumika. Watendaji hujipangia safari mikoani, warsha na semina au utalii wa ndani kama ule uliofanywa Zanzibar watumishi wa wizara moja mwishoni mwa mwezi wa sita.

Mkuu, mtoa mada anazungumzia pesa kuidhinishiwa matumizi moja kwa moja kutoka BOT na HAZINA.

Hii unayozungumzia wewe huwa inatokea baada ya fedha kuhamishiwa kwenye Taasisi (ikitoka BOT/HAZINA) ili Taasisi yenyewe iidhinishe matumizi rasmi.

Ikitokea muda umewatupa mkono (walichelewa kutekeleza/utekelezaji ulisuasua), ama walipokea fedha dakika za lala salama ndo hiyo hutengenezewa mpaka matumizi yaliyo nje na mpango wa awali ili kuepuka kuirudisha fedha BOT/HAZINA.
 
Back
Top Bottom