Griss
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 337
- 1,945
Kwanini mwezi huu, mwaka huu pesa za serikali zinalipwa mabilion kwa mabilioni? Kuna Nini?
BOT imetekwa na hazina watu wanalipa malipo mengi hewa
TISS kitengo Cha fedha chafu mmelala?
Nchi inaibiwa nchi inaporwa naona waporaji wanakausha Kama walivyofanya baada ya Magufuli kufariki.
Wazalendo simameni tukomboe nchi!
BOT imetekwa na hazina watu wanalipa malipo mengi hewa
TISS kitengo Cha fedha chafu mmelala?
Nchi inaibiwa nchi inaporwa naona waporaji wanakausha Kama walivyofanya baada ya Magufuli kufariki.
Wazalendo simameni tukomboe nchi!