Kwanini wimbi la Single Mothers linazidi kuongezeka?

Kwanini wimbi la Single Mothers linazidi kuongezeka?

Oscar Lyrics

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
2,739
Reaction score
4,667
Habarini wanajamii

Ni ukweli usiopingika kuwa Single mothers wanazidi kuongezeka katika jamii, tatizo ni nini hasa kinasababisha hali hii?
-Je ni ugumu wa maisha unaosababisha wanaume kuogopa kuingia kwenye ndoa?

-Au kubeba mimba bahati mbaya

Tatizo ni nini hasa?

Huko mtaani kila kona ukipita unaitwa anko ankoo, mabinti wamezalishwa halafu wametelekezwa.
 
istockphoto-931053156-612x612.jpg
 
Tatizo lilianzia Beijing. Kikao cha wanawake watupu akiwezi kuja na mpango wa kurekebisha tatizo(kama kweli lipo). Kama kweli tatizo lipo basi hicho kikao kitakuja na maazimio yatakayoongeza tatizo jingine
 
Habarini wanajamii

Ni ukweli usiopingika kuwa Single mothers wanazidi kuongezeka katika jamii, tatizo ni nini hasa kinasababisha hali hii?
-Je ni ugumu wa maisha unaosababisha wanaume kuogopa kuingia kwenye ndoa?

-Au kubeba mimba bahati mbaya

Tatizo ni nini hasa?

Huko mtaani kila kona ukipita unaitwa anko ankoo, mabinti wamezalishwa halafu wametelekezwa.
Wababa hawataki majukumu
 
1. Mtindo wa maisha umebadilika na kupelekea Watu kufanya mapenzi kabla ya kuoana kama fasheni na
kwa kufanya mapenzi tegemea mtoto

2. Mtindo wa maisha pia unaruhusu familia kuwaachia watoto wa kike watoke nyumbani kwenda mijini kujitafutia wakati hawana ujuzi au kazi rasmi; na huko ndio hukutana na changamoto za kuzalishwa

3. Madhehebu ya dini kutaka watu waoe mke mmoja. Inamaana panapotokea mdada kapata ujauzito na ndoa inayotakiwa ni moja anaachwa mtaani kuongeza watoto wa mitaani na singo mother.
Mfano: Mombasa ambapo waislam ndio wengi na wanaoa mke zaidi ya mmoja, kuona watoto wa mtaani au singo mother ni wa kutafuta ILA ukifika mji kama Kisumu ambapo Wakristo ndio wengi, watoto wa mtaani na single mother wamejaa. Hapo sijataja Nairobi ambapo ni majanga zaidi....
 
Sababu kuu ni monogamy,wanawakw ni wengi zaidi ya wanaumme ukioa mke mmoja tu hao wengine wataenda wapi ndio mwisho ni usingo maza na ukahaba,pigeni vita monogamy.
 
Namimi nitaendelea kuchangia idadi ya singo mazasi, kwa kuendelea kuwapiga kirungu nyama mabinti wa mjini
 
Bado hamjagundua tatizo kutatua tatizo zaidi ya lawama tu kwa wanaume kukwepa majukumu angali mwanamke ananafasi kubwa ya kutatua hili tatizo. Malezi, kutojitambua na ushauri kutoka kwa walimu wao(hasa wanawake wenzao)katika maisha ndiyo chanzo kikuu.
 
Niliwahi kusikia mjadala kijiweni kuwa
Waliopitisha sheria ya ndoa ya mke mmoja, hapo hapo wanatuambia kuwa, itafika kipindi wanawake wataomba kuolewa/kusitiriwa; hawakutumia akili vizuri ..... pengine atakuja Papa mwingine ataibadilisha
 
Back
Top Bottom