N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Huko nilikopaka rangi nimepapenda, wish all TZs tungekuwa innovative kama wewe especial on constructive issues. Usinielewe vibaya...............Hapo nilipotia alama hapo--- tafadhali usiusemee moyo maana sio wanaume wote wenye tabia hii uliyoiongelea hapo. Mie nilikuwa nakatiwa simu ikiita mara mbili sijapokea inakatwa na hata upige utapiga weee hadi switch za Tigo zijam- hapokei na bado akirudi unatoa maelezo kwa nini amepiga simu imeita hukupokea!!
Kuna siku nilishawahiandika hapa kuwa kuna mtu akitoka kazini lazima awe na summary ya
1. Nani alimpigia na alimpigia kwa sababu gani
2. Missed calls - ni za nani na kwa nini hakupokea (Hata kama alibeepiwa au ilikuwa wrong number ni lazima ajue ni nani alimwrongia na kwa nini hakuwrong sehemu nyingine iwe kwake tu??)
3.