Kwa kweli hii nchi ni ya ajabu sana,scholarship za vyuo venye viwango uwa wanapeana wenyewe kwa wenyewe.Kwa hivi vyuo vya bora liende wanaruhusu fair competition,hawa watu ni wahovyo sana.
Mbongo unapewa scholarship ya kwenda kusoma algeria,mozambique,kenya,burudi....sasa uko unaenda kufanya nn kama sio kuongeza ukilaza!