Kwanini wazee bado wananufaika Schoolarship?

Kwa kweli hii nchi ni ya ajabu sana,scholarship za vyuo venye viwango uwa wanapeana wenyewe kwa wenyewe.Kwa hivi vyuo vya bora liende wanaruhusu fair competition,hawa watu ni wahovyo sana.
Mbongo unapewa scholarship ya kwenda kusoma algeria,mozambique,kenya,burudi....sasa uko unaenda kufanya nn kama sio kuongeza ukilaza!

umeongea point mkuu..binafc nlipata makerere universty, enzi hzo kulikua na kitu kinaitwa exchange program for students in east africa,nkaona ujinga,bora nibaki bongo kwetu tu.
 
Elewa unachojaribu kikiwasilisha huyu ndugu yetu.
Anachosema ni kwamba,kwanini mtu ambye kabakisha miaka mi5 ya kustafu au tayar kashastafu,iweje apewa nafasi ya kwnda kusoma?mtu sio tena uzalishaji kwa serikali,kwann apewe nafasi hyo??nawakati vijana wapo wengi tu wanataka nafasi.!!

ninachokikumbuka ni kwamba Sumaye hakupelekwa na serikali, he went for personal development, he is not retired.. just wait to see 2015
 
ninachokikumbuka ni kwamba Sumaye hakupelekwa na serikali, he went for personal development, he is not retired.. just wait to see 2015
Du!kwa hiyo maarifa aliyoyapata havard yanasubiri mpaka 2015..!na lisipokuwa hilo analolitaka huo mwaka 2015 itakuwaje?halafu mi ninavyofahamu urais hausomewi bali utendaji ndio lazima uusomee!
 
Vijana watanzania wameridhika na elimu wanayoipata ndani ya nchi yao.over
he wewe, we utakua moja kati ya hao wazee wanao jitwaalia hizo schlshp, hebu mtaje hata kijana mmoja unaehisi kridhika na elim yake? watu tuna taabika, achilia mbali hizo za nje hata kupata elimu za juu humu ndani ni utata, leo wasema tumeridhika ?ebo.... :A S 112:
 
Back
Top Bottom