Kwanini Wazanzibari Hawana Vichogo?

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,416
Reaction score
17,726
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!
 
ww c bure unatafuta ugomvi.ngoja watakuja tu kukupa majb ndo hapo utatumbuka mbwaaaaaaaa.
 
Hahaha kweli mkuu mfano mzuri muangalie Salum Mwalimu Huyu Wa Chadema then ana mdogo wake nimemsahau jina nae hivo hivo no vichogo..nilisoma nao primary
 
mtoto anapozaliwa masaa machache ya mwanzo mifupa huwa teketeke, mtoto hulazwa chali kisogo huwekwa kwenye kibao bapa, mda unavyopita mifupa huanza kuwa migumu na tayari umepata upata kisogoni ili kuvaa vizuri baraghashia, upo?
 
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!
"jamanieee, JF vipi " mungu Muumba wetu huumba atakavyo sasa tusimkoseee !! Kwani siye wanaAdamu tunaoowezo ??


Kama hatuna Mada za maana kutiririsha siyo lazima !! as a GREAT THINKERS tuwe makini!
 
mtoto anapozaliwa masaa machache ya mwanzo mifupa huwa teketeke, mtoto hulazwa chali kisogo huwekwa kwenye kibao bapa, mda unavyopita mifupa huanza kuwa migumu na tayari umepata upata kisogoni ili kuvaa vizuri baraghashia, upo?

Ha ha ha ha ha ha
ngoja waje akina
mankachara
 
Last edited by a moderator:
Wazanzibari na watu wa pwani wengi wanapohisi mtoto amezaliwa na chogo na au akilala analala ubavu hutumia mito midogo ya mchanga kuwawekea kisogoni na huwabana kwa khanga mwilini ili wasigeuke wakalala kwa ubavu. Hii ni wakati wachanga kabisa na bado wateke.

Matokeo ni kuwa na kisogo na si chogo.
 
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!

Ila nywele zao zimesogea sana utosini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…