Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
INASEMEKANA NCHI NYINGI ZILIONDELEA KAMA jAPAN, DENMARK SEREKELI NA RAIA HUTUMIA GARI ZA BEI YA CHINI TOFAUTI NA TZ UTAONA MASHINGI, BMW , LAND CRUSER. KWNINI
Mkuu rahisi sana hiyo..miundo mbinu yetu mibovu..barabara hazifai vigari vidogo vinakwama lazima uwe na 4WD's
yap.kama utatembelea china na india utaona hivyokwa hiyo serikali haitengenezi barabara ili inunue mashangingi au inanunua mashaningi ili isitengeneze barabara.
Na mfano kutoka masaki kwenda posta darisalama kunahitaji shangingi.? Kutoka isamilo mwanza au kapripont kwenda bomani kunahitaji shangingi?
Viongozi wengi wanaona ni part ya status . Waziri kuendeshwa kwenye raav4 au corolla. Anaona kama madaraka yake yatapungua.
Sioni ubaya wowote mtu kuendesha gari ya gharama, ilimradi hilo gari anunue kwa pesa yake mwenyewe aliyotolea jasho.INASEMEKANA NCHI NYINGI ZILIONDELEA KAMA jAPAN, DENMARK SEREKELI NA RAIA HUTUMIA GARI ZA BEI YA CHINI TOFAUTI NA TZ UTAONA MASHINGI, BMW , LAND CRUSER. KWNINI
Mkuu rahisi sana hiyo..miundo mbinu yetu mibovu..barabara hazifai vigari vidogo vinakwama lazima uwe na 4WD's