Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 795
Wakuu nina jambo nataka tujadili.
Katika miaka yangu ya kusoma kutoka awali mpaka kidato cha nne kuna kitu nimegundua, Siku zote wale watu wenye IQ kubwa darasani huwezi wakuta wako na skendo za mademu yani wao wako directly proportional na udomo zege.
Sasa swali langu ni kuwa hawa jamaa hawana sex hormones , wanaogopa kuharibu cv zao, Au mademu hawataki watu ambao ni nondo darasani?
Pia wale wanaoshika mkia darasani ndo huwa na totozi kali skuli.
Kwa hiyo wakuu naomba tujuzane hii theory ya watu wenye iq kubwa kuwa madomo ZEGE.
In BEIRA BOY voice.
Katika miaka yangu ya kusoma kutoka awali mpaka kidato cha nne kuna kitu nimegundua, Siku zote wale watu wenye IQ kubwa darasani huwezi wakuta wako na skendo za mademu yani wao wako directly proportional na udomo zege.
Sasa swali langu ni kuwa hawa jamaa hawana sex hormones , wanaogopa kuharibu cv zao, Au mademu hawataki watu ambao ni nondo darasani?
Pia wale wanaoshika mkia darasani ndo huwa na totozi kali skuli.
Kwa hiyo wakuu naomba tujuzane hii theory ya watu wenye iq kubwa kuwa madomo ZEGE.
In BEIRA BOY voice.