Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Duh...Basi tuishie hapa.
Duh...Basi tuishie hapa.
Nyie swala la kujivutia kwenu nilakugusa tu!.. picha yanini walati umepewa kazi tu..😅Duh...
Hakuna kitu kama hicho..
Hii ipo kiimani zaidi
Kuwa na mali nyingiUtajiri ni nini?
Heri maskini wa Roho maana wataurithi ufalme wa Mungu.Ni matajiri ila sio wa mali na vitu.
Mmezoea kuwalalia walimu wanaowafundisha watoto wenu tuition kwa mkopo.Kwa sababu huwa tunagawa vitu vingi vya thamani kubwa bure wakati wengine huviuza.. Nilishawahi kwenda kwa mwanasheria mmoja kumuomba anigongee muhuri kwa sh elf tatu akakataa kata kata hadi niwe na elfu tano.. Unaona sasa, mtu anakunyima tu wino kisa umepungukiwa buku mbili je ni kitu gani kingine anaweza kukupa bure?
Hongera Sana mkuu...Mimi pia dingi ni mtoaji Sana mzuri wa misaada toka nazaliwa namuona..kastaafu bado anatoa balaa had unamsema..ila Nawaona anabarikiwaga Sana yeye na mkewe... Maisha yao kwakweli huwez amini km ni wastaafu .wanaishi kifahari! Dah ..God bless them!Ubarikiwa familia zao
Baba angu alikuwa na roho nzuri sana hata alipokufa mpaka leo sijawahi kuwa na shida,watoto wote hatujawahi kupata shida katika maisha yakusema hii ni shida kubwa.Wote tuna maisha mazuri sana ..
Mimi binafsi nimejifunza kupunguza kugawa ukubwani lakini toka nimeanza kutoa pesa na vitu sijawahi kufilisika hata siku moja na ndo Kwanza naongeza mali Kila siku...
Mtu akitoa kitu ni kwasababu ni tajiri yaani anazo hizo mali za kutoa... ukiona hutoi kbs ni kwasababu huna Cha kutoa. Sasa mtu anataka awe na billions za pesa bank halafu watu wako wa karibu Wana shida, Pesa zote za nini!
Halafu mtoaji Ana lala usingizi mnono usiku...
Kwahiyo unaumwa halafu hutaki kufuata masharti ya mganga...Nshamjua sasaNyie swala la kujivutia kwenu nilakugusa tu!.. picha yanini walati umepewa kazi tu..
Ha ha! Mtaje..?Kwahiyo unaumwa halafu hutaki kufuata masharti ya mganga...Nshamjua sasa
Nipe helaHa ha! Mtaje..?
Mtu ana kakibanda ka biashara mtaji wa 2m, mzazi anaumwa anahitaji 1.5m. Ndo mwisho wa biashara.Simply because wanatoa hadi zaidi ya kile walicho nacho ama wanacho kipata.
na nadra sana kuzeeka,wengi hufa mapema.
hawa hunifanya niamini Mungu ana matumizi huko na watu wema.
angalia wapuuzi wanavyopuyanga.mpaka wanatoboa 90 huko.
Nitampaje hela mtu anaenizidi kipato!... Does it sense..?Nipe hela
Kutoa ni moyo wewe....Nitampaje hela mtu anaenizidi kipato!... Does it sense..?
Nawewe pima hapo uone Kama ni sawa kutoa hela!.. hapo si unaongea na mizimu tu inifanyie manuva mi nimmiliki huyo mzee nimalizie yaliyomo..😂Umeanza kufunguka