Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Hiki kitu huwa najiulizaga sana kuna aina fllani ya watu Hao siku zote wao huwa kuna watu huwa wanawatizama kuwa ni watu wenye roho mbaya
Yaani full kuwasema vibaya, full kuwachukia, full kuwaombea mabaya , full kukutendea mabaya
Lakini inapotokea aina hii ya watu wanapitia wakati mgumu au wana changamoto kimbilio Lao la kwanza ni kuwa face watu wanawachukia waweze kuwasaidia ni kipindi ambacho moyo wake unaona wewe ndio mtetezi wake .
Je ni tatizo hupelekea hivoo mtu anaekuchukia kukuona wewe ndo kimbilio lake wakati wa shida
Sasa kama ni na roho mbaya why mtu akufanye ww ndio kimbilio lake kwanini watu anawaona wana roho nzuli asiwafate wamsaidie kuliko mimi mwenye roho mbaya
Yaani full kuwasema vibaya, full kuwachukia, full kuwaombea mabaya , full kukutendea mabaya
Lakini inapotokea aina hii ya watu wanapitia wakati mgumu au wana changamoto kimbilio Lao la kwanza ni kuwa face watu wanawachukia waweze kuwasaidia ni kipindi ambacho moyo wake unaona wewe ndio mtetezi wake .
Je ni tatizo hupelekea hivoo mtu anaekuchukia kukuona wewe ndo kimbilio lake wakati wa shida
Sasa kama ni na roho mbaya why mtu akufanye ww ndio kimbilio lake kwanini watu anawaona wana roho nzuli asiwafate wamsaidie kuliko mimi mwenye roho mbaya