Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,956
- 7,209
Matajiri wa roho...Ni matajiri ila sio wa mali na vitu.
Utajiri wao ni kuona watu wengine hawapati shida...
Matajiri wa vitu wengi wao dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji, taabu wanakula jasho la wengine, makanjanja na vitu nyuma ya pazia ndiyo vimewapa mali.
Everyday is Saturday..............................