Kwanini watu wengi wa JF hawajiamini?

des p...."member"
mkuu nadhani wewe ni mgeni bado Jf. ungeachana na hizi papara za kuwahi kuanzisha uzi na badala yake take time kujifunza kwa wenzio Kwanza.

nkiangalia thread title yako na thread contents haviendani kabisa. pls jifunze kwanza
 
Kabla ya kukushauri embu fafanua kidogo. Kwanza umejuaje kama ni watu wengi ndiyo hawajiamini? hiyo tafiti umeifanya wapi na kwa sample size gani?
BILA YA KWENDA MBALI AMEULIZA "KWA NINI WATU WENGI WA JF HAWAJIAMINI?" sio DSM, sio NAIROBI!!!! Hao watu wengi wa JF kajuaje kuwa hawajiamini kama anavyodai yeye!!!!
 
Back
Top Bottom