Kwanini watu wanaongea wakiwa wamelala ndotoni usiku?

Kwanini watu wanaongea wakiwa wamelala ndotoni usiku?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu,

Kuna jambo linanitatiza sana, kwanini mtu ukiwa umelala usiku wa manane then ukiota ndoto unaanza kuongea kwa sauti kubwa wakati ukiwa usingizini ndotoni?

Mfano jana kuna jamaa yangu alianza kuongea usiku wa manane akiwa usingizini. Aliongea kama dakika 5 then aliamka na kwenda kwenye friji kuchukua maji ya kunywa huku akiwa usingizini anakoroma ajabu. Baada ya kumaliza kunywa maji huku bado akikoroma alirudi kitanda akiwa usingizini tena anakoroma sana.

Sasa wakuu nisaidieni hapa hali hii usababishwa na nini?

Karibuni
 
Yanayoongelewa usiku ndioyaliyo moyoni
 
kuna ambao hutokana na kuongea sana mchana na analala akiwa amechoka sana hasa kwa kuongea..
pia wengine huongeleshwa na majini waliyotumiwa na watu ili kuwahoji watoe siri furahi hasa mtu akitaka kukuroga...
pia kuna tatizo la kibiolojia "sleep walking" matatizo ya nervous system..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom