Kwanini watu wanao-cheat wanataka kusamehewa kirahisi tu?

Kwanini watu wanao-cheat wanataka kusamehewa kirahisi tu?

Kama ni mwanaume hadi mnafikia kujadili hilo maana yake we bwege. So unatakiwa utoa msamaha haraka sana kabla ya watu hawajamchukua. Inshort we ndo anakusamehe.
 
Kama Mwanamke ndio kasalitiwa, sijui achukue hatua gani Hawa watu waliongea vitu vingi na shetani.

Ila kama ni Mwanaume ndio kasalitiwa:

1.Muache haraka huyo Mwanamke asije akakuua kwa huzuni, simanzi au hata kuwekewa sumu.

2. Brother hata ukimpa msamaha, hauwezi kumsamehe kwa asilimia zote, bado kauchungu katabaki either ufanye mauaji au ufe kwa sonona.

3.Hamuwezi kuaminiana tena

4.Fanya mipango yako nje ya yeye

5.Tafuta mbadala wake taratibu

6.Piga chini

La mwisho na muhimu, ukitoa msamaha halafu ukaanza kukumbushia wewe ndio mkorofi na hufai.

Wanawake wanaelewa tit for tat
 
"Kumuua aliye kuumiza si dhambi kabisa"

Huu mstari naomba uwekwe lamination, kuna kiumbe nitamuua kwa mikono yangu mwenyewe, hata pachelewe. Nilishaapa kabisa.
Nakusihi sana usiue huenda kesho Yako ikawa Bora zaidi bila yeye
 
Kama Mwanamke ndio kasalitiwa, sijui achukue hatua gani Hawa watu waliongea vitu vingi na shetani.

Ila kama ni Mwanaume ndio kasalitiwa:

1.Muache haraka huyo Mwanamke asije akakuua kwa huzuni, simanzi au hata kuwekewa sumu.

2. Brother hata ukimpa msamaha, hauwezi kumsamehe kwa asilimia zote, bado kauchungu katabaki either ufanye mauaji au ufe kwa sonona.

3.Hamuwezi kuaminiana tena

4.Fanya mipango yako nje ya yeye

5.Tafuta mbadala wake taratibu

6.Piga chini

La mwisho na muhimu, ukitoa msamaha halafu ukaanza kukumbushia wewe ndio mkorofi na hufai.

Wanawake wanaelewa tit for tat
Point👍👍👍👍
 
Unakuta mtu ana cheat hadi inakuwa hadharani yanamuendea vibaya unajua anaomba samahani na anakutaka usamehe uendelee kumchekea na kumfurahia kama zamani

Yani kirahisi tu na huenda unalaumiwa kwa "kutokusamehe"

Wakati mwingine ni rahisi kuhama kutoka yanga kwenda Simba kuliko kusamehe
Fanya zoezi la kuwacheat ili nawao wapate maumivu, (experience sharing)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom