uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,504
- 27,287
Unakuta mtu ana cheat hadi inakuwa hadharani yanamuendea vibaya unajua anaomba samahani na anakutaka usamehe uendelee kumchekea na kumfurahia kama zamani
Yani kirahisi tu na huenda unalaumiwa kwa "kutokusamehe"
Wakati mwingine ni rahisi kuhama kutoka yanga kwenda Simba kuliko kusamehe
Yani kirahisi tu na huenda unalaumiwa kwa "kutokusamehe"
Wakati mwingine ni rahisi kuhama kutoka yanga kwenda Simba kuliko kusamehe