CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
Iza Bazazi ana hoja mbili tatu, hebu endelea:
- Bazazi ni Mkristo na Biblia inamuambia kuwa hakuna haki ya kuachana ila kwa sababu ya Uasherati.
- Kwavile Biblia anayoiamini imempa ruhusa hiyo angekuwa yeye angepiga chini fasta, lakini kwa kuwa Bazazi sio Iza basi usikilize moyo wako uamue haraka kabla hayajaharibika zaidi. Kama hakuna mtoto kwa uhakika piga chini fasta na ukirudi nyuma uwe kama mke wa Lutu.
- Watu wanaoa kwasababu nyingi lakini za muhimu ni UVIVU wa kutongoza na kupenda vya DEZO. Kwa sababu hizo Bazazi anakushauri njia nzuri ya mahusiano ni "HIT & RUN" ndio lugha wanayoielewa hawa viumbe wanaokojoa kwa kuchuchumaa na hivyo kushindwa kukojoa ktk vyoo vya kukokolea vya Nyamaume.
- Fikiri sana na nje ya mtazamo wako na amua kiume. Lakini kumbuka hapo nje kuna kitu kinakusubiri kinaitwa UKIMWI.
Naam Bazazi ni Bazazi!
Tabia za watu hazihusiani na maumbile yao. So be careful with such irritating conclusions! Isitoshe je wanaume ndio wasafi? Can you prove this? Cheating ni tatizo la wote. Tena nadhani wanaume ndio wanastahili medali ya dhahabu katika hili. Kwa hiyo tusiongelee suala hili kama vile ni la kijinsia, bali la kimaadili linalowahusu wote katika mahusiano.
Last edited by a moderator: