Jembeulaya
New Member
- Jul 14, 2012
- 4
- 0
pole sana kaka, hakujua thamani ya uaminifu na kumwamini ulioweka kwake. nasikitika kuwa atakuja kujutia ila itakuwa kama kuanguka kwa tawi mtini, huwezi rudisha the early trust uliyokuwa nayo kwake. liweke wazi kwa ndugu zenu na ikiwezekana anza maisha upya. Mwombe Mungu akupe ujasiri na moyo wa kusahau ili uweze kuwaamini wanawake wengine. sio wote wana tabia hizo