njiwa_poli
Member
- May 25, 2023
- 7
- 11
Habarini ndugu!
Samahani naomba mnisaidie; mdogo angu ameajiriwa na tasisi fulani ya serikali huko Shinyanga, ila kinachonishangaza kwenye kada zingine wameishaitwa kazini ila kwenye kada yao waliajiriwa wawili yeye na mwenzake wenyewe mpaka saizi hawajaitwa, ni kama wiki tatu zimepita toka wenzao waitwe. Ila wenyewe toka wapeleke barua za ajira walisema wataitwa mpka saizi bado.
Naomba niulize hivi shida itakuwa nini? Na je utaratibu wa kuitwa kwa awamu huwa upo? Maana wote na wenzao wapo kwenye tangazo moja la ajira.
Samahani naomba mnisaidie; mdogo angu ameajiriwa na tasisi fulani ya serikali huko Shinyanga, ila kinachonishangaza kwenye kada zingine wameishaitwa kazini ila kwenye kada yao waliajiriwa wawili yeye na mwenzake wenyewe mpaka saizi hawajaitwa, ni kama wiki tatu zimepita toka wenzao waitwe. Ila wenyewe toka wapeleke barua za ajira walisema wataitwa mpka saizi bado.
Naomba niulize hivi shida itakuwa nini? Na je utaratibu wa kuitwa kwa awamu huwa upo? Maana wote na wenzao wapo kwenye tangazo moja la ajira.