Trimmer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 2,692
- 4,619
Waungwana nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hili na leo nimeona bora niwashirikishe na great thinkers wa JF nipate kuelewa zaidi mimi na wengine hasa wafata mkumbo,,
Imekuwa ni kawaida sana kila ukienda katika kumbi za sinema kukuta bisi (pop cone) ndio kama official food huko pamoja na soda,,
Swali ninalojiuliza ni kwanini hakuna chakula kingine tofauti kama nyama na samaki,,? Au kinywaji tofauti na soda kama bia au pombe nyingine kali,,?
Kwanini pop cone na cinema,,?
Imekuwa ni kawaida sana kila ukienda katika kumbi za sinema kukuta bisi (pop cone) ndio kama official food huko pamoja na soda,,
Swali ninalojiuliza ni kwanini hakuna chakula kingine tofauti kama nyama na samaki,,? Au kinywaji tofauti na soda kama bia au pombe nyingine kali,,?
Kwanini pop cone na cinema,,?