Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 1,756
- 4,144
Habari za mchana wanajamii forums.?
Nisiwapotezee muda, niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna swali huwa ninajiuliza sana lakini bado sijawahi kupata jibu halisi, ninaomba mwenye uelewa wa hili swali anipe majibu.
Ni mara nyingi huwa tunaona ama kusikia matukio ya aina hii, watu kugombea maiti. Unakuta wengine wanataka marehemu azikwe kimila wengine wanataka azikwe kidini au wengine wanataka akazikwe kwao wengine wanataka azikwe alipofariki yani unakuta ni vurugu mwanzo mwisho.
Faida yake huwa ni nini.?
Mshana Jr
Rakims
jerryempire
Nisiwapotezee muda, niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna swali huwa ninajiuliza sana lakini bado sijawahi kupata jibu halisi, ninaomba mwenye uelewa wa hili swali anipe majibu.
Ni mara nyingi huwa tunaona ama kusikia matukio ya aina hii, watu kugombea maiti. Unakuta wengine wanataka marehemu azikwe kimila wengine wanataka azikwe kidini au wengine wanataka akazikwe kwao wengine wanataka azikwe alipofariki yani unakuta ni vurugu mwanzo mwisho.
Faida yake huwa ni nini.?
Mshana Jr
Rakims
jerryempire