Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,080
- 3,716
Hapo vipi?
Ni utafiti ambao nimefanya muda mrefu sana...watu wengi ambao hawaja soma alafu wakapata mafanikio kidogo huwa hubikwa na dharau pamoja na kiburi.
Hii nitofaauti na watu ambao wamesoma alafu wakawa na mafanikio kama wakina Bill Gate na Marehemu Reginald Memgi.
Kulikuwa na majamaa wengi enzi hizo ambao walikuwa walikamata vipesa kidogo kupitia utalii na mererani hapo Arusha.
Hakika walikuwa na nadharau na kiburi.mfano msukuma bungeni
Ni utafiti tu nilifanya.
Ni utafiti ambao nimefanya muda mrefu sana...watu wengi ambao hawaja soma alafu wakapata mafanikio kidogo huwa hubikwa na dharau pamoja na kiburi.
Hii nitofaauti na watu ambao wamesoma alafu wakawa na mafanikio kama wakina Bill Gate na Marehemu Reginald Memgi.
Kulikuwa na majamaa wengi enzi hizo ambao walikuwa walikamata vipesa kidogo kupitia utalii na mererani hapo Arusha.
Hakika walikuwa na nadharau na kiburi.mfano msukuma bungeni
Ni utafiti tu nilifanya.