Kwanini watoto wengi wa nje ya ndoa hufanikiwa kimaisha?

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,512
Wakuu habarini,


Nilikuwa mahali fulani mara mjadala ukazuka juu ya watoto ambao wanazaliwa nje ya ndoa kufanikiwa kimaisha.

Mimi nikawaambia binafsi pia nimewaona watoto wa hivyo wengi tu wakiwa na maisha mazuri ila natamani nijue ni kwanini...

Mmoja kati ya waliokuwapo hapo akasema hata yeye pia amekuwa akiona watoto hao kutusua kimaisha kuliko walio ndani ya ndoa.

Mwingine akasema kuwa wale watoto hubeba baraka zote za mzaliwa wa kwanza ndio maana hubarikiwa.

Mjadala ulikuwa mpana sana...

Nimeona nililete kwenu nyie wanajamii maana najua kwenu hakushindukani kitu.

Nawasilisha
 
Kwetu inaaminika watu wa aina hii huleta mkosi kwa wanafamilia wengine na wenyewe na wanakuwa na Baraka. Kuna familia zingine huko kwetu huamua kuwatanguliza mbele za haki kama solution. Hako ni ka uzoefu ka huko kwetu.
 
Wakuu habarini,


Nilikuwa mahali fulani mara mjadala ukazuka juu ya watoto ambao wanazaliwa nje ya ndoa kufanikiwa kimaisha.

Mimi nikawaambia binafsi pia nimewaona watoto wa hivyo wengi tu wakiwa na maisha mazuri ila natamani nijue ni kwanini...

Mmoja kati ya waliokuwapo hapo akasema hata yeye pia amekuwa akiona watoto hao kutusua kimaisha kuliko walio ndani ya ndoa.

Mwingine akasema kuwa wale watoto hubeba baraka zote za mzaliwa wa kwanza ndio maana hubarikiwa.

Mjadala ulikuwa mpana sana...

Nimeona nililete kwenu nyie wanajamii maana najua kwenu hakushindukani kitu.

Nawasilisha
Ungekuja na takwimu za mafanikio kati ya watoto wa ndani ya ndoa dhidi ya watoto wa nje ya ndoa ungekuwa umeweka mazingira mazuri ya uchangiaji wa hii mada yako mkuu.
 
Inategemea na mzazik aliyemlea mtoto mwenyewe kuna watoto kama wangelelewa kwenye maisha ya ndoa wangekuwa mbali sana na hapo walipo maisha hayana formula .
Tatizo ni watu waajiaminisha hivyo lakini ukweli ni kwamba wanajitahid kutafuta kwa sababu hupati msaada upande fulani hivyo utafanya juhudi zotee ufanikiwe kuonesha upande mwingine unaweza pasipo na waoo
 
Ungekuja na takwimu za mafanikio kati ya watoto wa ndani ya ndoa dhidi ya watoto wa nje ya ndoa ungekuwa umeweka mazingira mazuri ya uchangiaji wa hii mada yako mkuu.
Mkuu, sikuweza kuchukua takwimu...ni ka mjadala tu kalizuka...nikaona ni vyema nikalete huku tujadili
 
Hakuna siri zaidi ya kupambana na kuwa na hasira na maisha.Sasa unakuta watoto wengi wa nje ya ndoa haswa wanao lelewa na mama zao,wanakuwa na hasira kutokana na maisha ya upweke wanayo pitia,hivyo hupigana sana kutafuta njia ya kutoboa kimaisha.Na hii ndio siri ya mafanikio hata kwa ambaye si wanje ya ndoa akiwa na spirit hii lazima atoboe tu.
 
Hakuna siri zaidi ya kupambana na kuwa na hasira na maisha.Sasa unakuta watoto wengi wa nje ya ndoa haswa wanao lelewa na mama zao,wanakuwa na hasira kutokana na maisha ya upweke wanayo pitia,hivyo hupigana sana kutafuta njia ya kutoboa kimaisha.Na hii ndio siri ya mafanikio hata kwa ambaye si wanje ya ndoa akiwa na spirit hii lazima atoboe tu.
u said it all,

Thanks mkuu
 
unajua hata walio kwenye ndoa wanatoboa wakijielewa, tatizo linakuja wanaona mali let us say kodi za nyumba zinaingia milion 3 kwa mwezi na ni mtoto wa kiume pekee, anajisahau na kubweteka kuwa pesa itakuwepo bila kugundua kuwa cha kutafuta mwenyewe ndio issue...kupitia thread hii tujifunze kutumia vile vipawa alivyotupa Mungu kutafuta riziki zetu wenyewe.

NB: Kila mtu ameumbwa na kipawa chake na Mungu alifanya hivyo makusudi ili kila mmoja alete riziki yake kupitia vipawa alivyopewa.
Tatizo linakuja tunapenda sana kukopi maisha ndio maana wengine hatutoboi.
 
Wakuu habarini,


Nilikuwa mahali fulani mara mjadala ukazuka juu ya watoto ambao wanazaliwa nje ya ndoa kufanikiwa kimaisha.

Mimi nikawaambia binafsi pia nimewaona watoto wa hivyo wengi tu wakiwa na maisha mazuri ila natamani nijue ni kwanini...

Mmoja kati ya waliokuwapo hapo akasema hata yeye pia amekuwa akiona watoto hao kutusua kimaisha kuliko walio ndani ya ndoa.

Mwingine akasema kuwa wale watoto hubeba baraka zote za mzaliwa wa kwanza ndio maana hubarikiwa.

Mjadala ulikuwa mpana sana...

Nimeona nililete kwenu nyie wanajamii maana najua kwenu hakushindukani kitu.

Nawasilisha
Sasa mbona mada za kuwananga watu waliolelewa na mzazi mmoja haziishi humu. Watu wengi wanaonesha waliolelewa kwenye ndoa ndio bora kuliko hao ambao unasema wanamafanikio.
 
Hili ni kisaikolojia mtu akiwa wa nje halafu mama yake anajimudu sana pia aweza haribika Kama wa ndani ila mtoto Kama diamond amekuwa akishuhudia mama akilala njaa kwa umaskini lazima kunakuwa na userious kutafuta hela,mfano wahindi watoto wao Kuna umri akifikia hasa akimaliza form 4 wanakamata wanampeleka akalelewe kwa ndugu wa mbali sana mfano mtoto wanaona ni mpenzi wa magari ,anaenda kupiga kazi ya gereji Tena analipwa mshahara duni na manyanyaso juu kwa mwaka ,Kisha anapelekwa veta mwaka baada ya hapo anaenda kuuZa duka la ndugu wa Baki mwaka baada ya happy akiwa hanakitu wanamkopea hela kwa ndugu Baki afungue duka ila ukweli ni hela ya babake ,baada ya hapo utakutana naye anaendesha Bentley after 5 years na ndo maana makatili sana kwa wafanyakazi
 
Sasa mbona mada za kuwananga watu waliolelewa na mzazi mmoja haziishi humu. Watu wengi wanaonesha waliolelewa kwenye ndoa ndio bora kuliko hao ambao unasema wanamafanikio.
Watoto wote ni sawa ,ila wazazi wanaozaa nje ndo pumbafu kabisa ,hata mtoto aliezaliwa nje ya ndoa akikua mzazi wake unawajibu wakumwambia mwanangu kuzaa na mke/mume wa mtu ni kosa baya na niahidi hutorudia makosa yangu
 
Wakuu habarini,


Nilikuwa mahali fulani mara mjadala ukazuka juu ya watoto ambao wanazaliwa nje ya ndoa kufanikiwa kimaisha.

Mimi nikawaambia binafsi pia nimewaona watoto wa hivyo wengi tu wakiwa na maisha mazuri ila natamani nijue ni kwanini...

Mmoja kati ya waliokuwapo hapo akasema hata yeye pia amekuwa akiona watoto hao kutusua kimaisha kuliko walio ndani ya ndoa.

Mwingine akasema kuwa wale watoto hubeba baraka zote za mzaliwa wa kwanza ndio maana hubarikiwa.

Mjadala ulikuwa mpana sana...

Nimeona nililete kwenu nyie wanajamii maana najua kwenu hakushindukani kitu.

Nawasilisha
Watoto wa nje au watoto wa kambo huwa wanahisi kuwa bila juhudi hawawezi kunyanyuliwa ili waende juu so inabidi wawe wanajiongeza kuwa makini kwenye kila step ya maisha yake ili asikosee.Watoto wa kambo hujituma ili kuepusha mikelele na kulaumiwa hivyo inawaongezea umakini zaidi kwenye kila jambo waliltendalo hatimaye wakiwa wakubwa wanakuwa ni watu wenye kujazwa na heshima na juhudi.HAPO NDO KWENYE UCHAWI WA MAFANIKIO YAO.
 
Back
Top Bottom