ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,722
Mbona mapesa yako mengi tunatoa Kodi na bado Kuna pesa kutoka nje zinakuja kwanini Sasa viongozi hawataki kukubali kwamba maendeleo Ni watu.haiwezekani daktari asomeshwe halafu aje aambiwe ajiajiri kwa kufungua hospitali.
Mbona madini ya thamani yapo mengi huko mererani si mchimbe muyauze kwa mwekezaji ili hio pesa iwe mshahara.Nahisi undugunazition unataka urudi kimya kimya kwenye hizi ishu za ajira.
Mbona madini ya thamani yapo mengi huko mererani si mchimbe muyauze kwa mwekezaji ili hio pesa iwe mshahara.Nahisi undugunazition unataka urudi kimya kimya kwenye hizi ishu za ajira.